DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
Siku nyingine ya ukweli hutoambiwa, Wanaume hatunaga umbea.Mkuu mimi huwa napenda kirahisisha kumficha adui siwezi
Ukiwa mwanaume jifunze kua na frji linalogandisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku nyingine ya ukweli hutoambiwa, Wanaume hatunaga umbea.Mkuu mimi huwa napenda kirahisisha kumficha adui siwezi
MKUU SAMAHANI NAOMBA KIFUNGU CHA MAREJEO KWENYE BIBLIA AU QURAN NIKASOME HUU MSTARI UNAOSEMA HIVIleo utaficha ila maandiko yamesema siku ya mwisho Mungu ataweka bonge msiklinitv alafu ata replay mambo yako yote hadharani, sasa sijui itakuwa umeficha nini?
Nadhani wewe umechagua kuwa muwazi na sio kuwa muaminifu.Habari wakuu natumaini hamjambo
Wakuu kama title inavyojieleza nimeamua tu niwe muaminifu kwa mke wangu ili azidi kuniamini kama mume wake yafuatayo ndio niliyo yafanya ili kuongeza uaminifu
1:kuna rafiki yangu alikuja kuniambia kamuona wife sehem yupo na jamaa wanakula bata kama siamini eti niende nae nikajirizishe,kiufupi sikujali maana nikaona kama ugombanishi,alivyorudi jion nikaamua kumsimulia jinsi jamaa alivyoongea akaniuliza kakwambia nani,nikamtaja sio siri wife akamfuata huko huko akaenda kumsuta,siku ya pili nimekutana na jamaa kanilia buyu,nikasema sijali kila mmoja na maisha yake..
2:leo nilipata mchepuko,bahati mbaya nilichelewa kurudi home nilivyorudi nikamuambia wife yote, mpaka bei ya logde nilioenda kulia mbususu, huyo mchepuko,na kumsifia juu anajua kukatia......... inaendelea
Nb wakuu kwa nini tufiche mambo bora tuonyeshe tu uaminifu kwa watu wetu, leo utaficha ila maandiko yamesema siku ya mwisho Mungu ataweka bonge msiklinitv alafu ata replay mambo yako yote hadharani, sasa sijui itakuwa umeficha nini?
bora tuwekane wazi, ikifika siku ya mwisho mnamwambia tyu Mungu haina haja sisi tayari tumeshahukumiana duniani tunaomba tuingie tu moja kwa moja mbinguni tukapumzike
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa kweli na mm mwenyewe naendelea kuufuatilia,mana niliambiwaga huko ibadani, yakuwa itakuwa hivyo.MKUU SAMAHANI NAOMBA KIFUNGU CHA MAREJEO KWENYE BIBLIA AU QURAN NIKASOME HUU MSTARI UNAOSEMA HIVI
Hapo nimekuwa vyote, muaminifu na muwazi, uwazi hujenga, uaminifuNadhani wewe umechagua kuwa muwazi na sio kuwa muaminifu.
Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
mmh aiseeeMkuu kwa kweli na mm mwenyewe naendelea kuufuatilia,mana niliambiwaga huko ibadani, yakuwa itakuwa hivyo.
Sawa sawa.Hapo nimekuwa vyote, muaminifu na muwazi, uwazi hujenga, uaminifu
Mkuu mimi binafs yangu nimechagua kutoambiwa mana unaweza kufa kwa presha kwa vitu vidogo ambavyo havina msingi wakat vinaweza kuepukwa ndio maana wanaume tunawahi kufa kwa kuweka mambo rohoniSiku nyingine ya ukweli hutoambiwa, Wanaume hatunaga umbea.
Ukiwa mwanaume jifunze kua na frji linalogandisha
Kwahiyo point namba 2 nimegundua bila kupapasa hii ni story ya kutunga...Habari wakuu natumaini hamjambo
Wakuu kama title inavyojieleza nimeamua tu niwe muaminifu kwa mke wangu ili azidi kuniamini kama mume wake yafuatayo ndio niliyo yafanya ili kuongeza uaminifu
1:kuna rafiki yangu alikuja kuniambia kamuona wife sehem yupo na jamaa wanakula bata kama siamini eti niende nae nikajirizishe,kiufupi sikujali maana nikaona kama ugombanishi,alivyorudi jion nikaamua kumsimulia jinsi jamaa alivyoongea akaniuliza kakwambia nani,nikamtaja sio siri wife akamfuata huko huko akaenda kumsuta,siku ya pili nimekutana na jamaa kanilia buyu,nikasema sijali kila mmoja na maisha yake..
2:leo nilipata mchepuko,bahati mbaya nilichelewa kurudi home nilivyorudi nikamuambia wife yote, mpaka bei ya logde nilioenda kulia mbususu, huyo mchepuko,na kumsifia juu anajua kukatia......... inaendelea
Nb wakuu kwa nini tufiche mambo bora tuonyeshe tu uaminifu kwa watu wetu, leo utaficha ila maandiko yamesema siku ya mwisho Mungu ataweka bonge msiklinitv alafu ata replay mambo yako yote hadharani, sasa sijui itakuwa umeficha nini?
bora tuwekane wazi, ikifika siku ya mwisho mnamwambia tyu Mungu haina haja sisi tayari tumeshahukumiana duniani tunaomba tuingie tu moja kwa moja mbinguni tukapumzike
Sent using Jamii Forums mobile app
Kivipi Mkuu?Ni jambo zuri kuwa muaminifu lkn hapo kwenye kumwambia ukwel wa jambo ulikuwa unataka kufanya sio powa kbsa
Kikubwa wajifunze kujua wanaishi na mtu wa aina gani, maneno maneno hujenga na kubomoaHilo la 1 ni la kishamba sana sio mahaba kuna siku utamkumbuka huyo mwamba
Hapana Mkuu sio ya kutungwa ni wazi ila huwa napima kwanza kwa siku hiyo yupo vipi, pia huweza tu ukakulupuka na kuanza kusimulia, lazima usome mchezo jinsi ke huwa inageuza maneno kwenye sio huweka ndio nk,kwahiyo huchukuliwa kama namtania ila Mungu hujua huyu hapa anasema ukweliKwahiyo point namba 2 nimegundua bila kupapasa hii ni story ya kutunga...
Sawa Mkuu ndo lifestyle uliochagua hupangiwi ila kuwa na kifua cha kuifadhi mambo ni muhimu sanaKikubwa wajifunze kujua wanaishi na mtu wa aina gani, maneno maneno hujenga na kubomoa
Kwahiyo Mkuu kuwa muwazi ni uchizi au ndio yale mwana akifanya kazi tra akifa masikini analaumiwa mwana alikuwa mjinga nafasi alishapata, na akiiba mwana alikuwa fisadiKatika watanzania 10 , watanzania 8 ni machizi, waliobakia wapuuzi
Ila hujaona kama yeye jamaa ndio chanzo cha migogoro
Tatizo jamaa yangu nae anatabia za u snich kashawah pita na manzi yangu hapo kitamboMkuu jamaa amekuwa muaminifu kwako kama ambavo wewe unadai umekuwa muaminifu kwa Wife wako...