Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmeenKila la kheri...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] japo sijaelewa ila [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]At your own risk...!! Better not!
Aisee. Ila hiyo skrini haitakuwepo siku ya mwishoHabari wakuu natumaini hamjambo
Wakuu kama title inavyojieleza nimeamua tu niwe muaminifu kwa mke wangu ili azidi kuniamini kama mume wake yafuatayo ndio niliyo yafanya ili kuongeza uaminifu
1: Kuna rafiki yangu alikuja kuniambia kamuona wife sehem yupo na jamaa wanakula bata kama siamini eti niende nae nikajirizishe,kiufupi sikujali maana nikaona kama ugombanishi,alivyorudi jion nikaamua kumsimulia jinsi jamaa alivyoongea akaniuliza kakwambia nani,nikamtaja sio siri wife akamfuata huko huko akaenda kumsuta,siku ya pili nimekutana na jamaa kanilia buyu,nikasema sijali kila mmoja na maisha yake..
2: Leo nilipata mchepuko,bahati mbaya nilichelewa kurudi home nilivyorudi nikamuambia wife yote, mpaka bei ya logde nilioenda kulia mbususu, huyo mchepuko,na kumsifia juu anajua kukatia......... inaendelea
NB: Wakuu kwa nini tufiche mambo bora tuonyeshe tu uaminifu kwa watu wetu, leo utaficha ila maandiko yamesema siku ya mwisho Mungu ataweka bonge msiklinitv alafu ata replay mambo yako yote hadharani, sasa sijui itakuwa umeficha nini? Bora tuwekane wazi, ikifika siku ya mwisho mnamwambia tyu Mungu haina haja sisi tayari tumeshahukumiana duniani tunaomba tuingie tu moja kwa moja mbinguni tukapumzike
Huko shetani atakakotokea hutamuona kaingia kwa mlango gani na kafika kwa usafiri gani.. Utashangaa huyo keshajaa ndani ya nyumba..Habari wakuu natumaini hamjambo
Wakuu kama title inavyojieleza nimeamua tu niwe muaminifu kwa mke wangu ili azidi kuniamini kama mume wake yafuatayo ndio niliyo yafanya ili kuongeza uaminifu
1: Kuna rafiki yangu alikuja kuniambia kamuona wife sehem yupo na jamaa wanakula bata kama siamini eti niende nae nikajirizishe,kiufupi sikujali maana nikaona kama ugombanishi,alivyorudi jion nikaamua kumsimulia jinsi jamaa alivyoongea akaniuliza kakwambia nani,nikamtaja sio siri wife akamfuata huko huko akaenda kumsuta,siku ya pili nimekutana na jamaa kanilia buyu,nikasema sijali kila mmoja na maisha yake..
2: Leo nilipata mchepuko,bahati mbaya nilichelewa kurudi home nilivyorudi nikamuambia wife yote, mpaka bei ya logde nilioenda kulia mbususu, huyo mchepuko,na kumsifia juu anajua kukatia......... inaendelea
NB: Wakuu kwa nini tufiche mambo bora tuonyeshe tu uaminifu kwa watu wetu, leo utaficha ila maandiko yamesema siku ya mwisho Mungu ataweka bonge msiklinitv alafu ata replay mambo yako yote hadharani, sasa sijui itakuwa umeficha nini? Bora tuwekane wazi, ikifika siku ya mwisho mnamwambia tyu Mungu haina haja sisi tayari tumeshahukumiana duniani tunaomba tuingie tu moja kwa moja mbinguni tukapumzike
asante kwa ushauri muruaHuko shetani atakakotokea hutamuona kaingia kwa mlango gani na kafika kwa usafiri gani.. Utashangaa huyo keshajaa ndani ya nyumba..
Pamoja na nia yako njema lakini usiache kumtanguliza Mungu
😂😂😂😠😠Muosha Huoshwa.