Nimeandikiwa rufaa Muhimbili hospitali ya mtoto wa miaka miwili na nusu

Nimeandikiwa rufaa Muhimbili hospitali ya mtoto wa miaka miwili na nusu

Wakuu habari..

Mtoto wangu alikuwa na changamoto ya kuchelewa kulia tangu alipozaliwa 2022 July, baada ya hapo akawa anapata degedege tukawa tumepeleka kwenye vipimo hospital ya Benjamin Dodoma kufanya vipimo vya EEG TEST pamoja na CT scan.

Majibu ya CT scan hayakuonesha chochote ila EEG test yalionesha degedege bado ipo na tukaandikiwa dawa aina ya sodium valproate.

Ameendelea kutumia hio dawa lakini hali ya kushtuka bado ipo japo hapotezi fahamu kama hapo awali, hivyo basi tumeandikiwa rufaa hapo muhimbili kuonana na daktari bingwa wa mfumo wa fahamu kwa watoto.

Maendeleo yake mpaka Sasa mtoto hajaanza kutambaa, kusimamia, Wala kutembea.
Ombi langu kwenu.. DAKTARI GANI wa kumuona pale muhimbili ili amuone mtoto na uchunguzi zaidi?

Mbarikiwe😭😭😭
Pole sana ndugu, umenifanya nifikirie tofauti...

Mimi mtoto wangu mdogo ni mtundu sana, ana mwaka na nusu amekuwa akinikera ile kuhamisha vitu, yaani kila kitu anachoweza kubeba anachukua ana peleka kusiko mahala pake, halafu sasa hachoki eti apumzike.

Yaani bandiko lako limenifanya nione kila anachofanya huyu mtoto ni sawa tu,
 
Wakuu habari..

Mtoto wangu alikuwa na changamoto ya kuchelewa kulia tangu alipozaliwa 2022 July, baada ya hapo akawa anapata degedege tukawa tumepeleka kwenye vipimo hospital ya Benjamin Dodoma kufanya vipimo vya EEG TEST pamoja na CT scan.

Majibu ya CT scan hayakuonesha chochote ila EEG test yalionesha degedege bado ipo na tukaandikiwa dawa aina ya sodium valproate.

Ameendelea kutumia hio dawa lakini hali ya kushtuka bado ipo japo hapotezi fahamu kama hapo awali, hivyo basi tumeandikiwa rufaa hapo muhimbili kuonana na daktari bingwa wa mfumo wa fahamu kwa watoto.

Maendeleo yake mpaka Sasa mtoto hajaanza kutambaa, kusimamia, Wala kutembea.
Ombi langu kwenu.. DAKTARI GANI wa kumuona pale muhimbili ili amuone mtoto na uchunguzi zaidi?

Mbarikiwe😭😭😭
Pole sana Kwa changamoto hii. Ukifika pale mhimbili emergency watakuelekeza vizuri bila Shaka yoyote ondoa wasiwasi.
 
Wakuu habari..

Mtoto wangu alikuwa na changamoto ya kuchelewa kulia tangu alipozaliwa 2022 July, baada ya hapo akawa anapata degedege tukawa tumepeleka kwenye vipimo hospital ya Benjamin Dodoma kufanya vipimo vya EEG TEST pamoja na CT scan.

Majibu ya CT scan hayakuonesha chochote ila EEG test yalionesha degedege bado ipo na tukaandikiwa dawa aina ya sodium valproate.

Ameendelea kutumia hio dawa lakini hali ya kushtuka bado ipo japo hapotezi fahamu kama hapo awali, hivyo basi tumeandikiwa rufaa hapo muhimbili kuonana na daktari bingwa wa mfumo wa fahamu kwa watoto.

Maendeleo yake mpaka Sasa mtoto hajaanza kutambaa, kusimamia, Wala kutembea.
Ombi langu kwenu.. DAKTARI GANI wa kumuona pale muhimbili ili amuone mtoto na uchunguzi zaidi?

Mbarikiwe😭😭😭
pole sana mkuu, Mungu akufanyie wepesi apone haraka
 
Pole sana ndugu, umenifanya nifikirie tofauti...

Mimi mtoto wangu mdogo ni mtundu sana, ana mwaka na nusu amekuwa akinikera ile kuhamisha vitu, yaani kila kitu anachoweza kubeba anachukua ana peleka kusiko mahala pake, halafu sasa hachoki eti apumzike.

Yaani bandiko lako limenifanya nione kila anachofanya huyu mtoto ni sawa tu,
Asante sana mkuu
 
Wakuu habari..

Mtoto wangu alikuwa na changamoto ya kuchelewa kulia tangu alipozaliwa 2022 July, baada ya hapo akawa anapata degedege tukawa tumepeleka kwenye vipimo hospital ya Benjamin Dodoma kufanya vipimo vya EEG TEST pamoja na CT scan.

Majibu ya CT scan hayakuonesha chochote ila EEG test yalionesha degedege bado ipo na tukaandikiwa dawa aina ya sodium valproate.

Ameendelea kutumia hio dawa lakini hali ya kushtuka bado ipo japo hapotezi fahamu kama hapo awali, hivyo basi tumeandikiwa rufaa hapo muhimbili kuonana na daktari bingwa wa mfumo wa fahamu kwa watoto.

Maendeleo yake mpaka Sasa mtoto hajaanza kutambaa, kusimamia, Wala kutembea.
Ombi langu kwenu.. DAKTARI GANI wa kumuona pale muhimbili ili amuone mtoto na uchunguzi zaidi?

Mbarikiwe😭😭😭
Pole mkuu, vipi kichwa kimekaza lakini na macho vipi yako na ushirikiano na vipi kuhusu kufanya fujo kitandani anafanya.
 
hiyo barua Yao ya rufaa lazima itakuwa imeandikwa idara

uko mkoa gani ...na lini safari utaanza
 
pole sana mkuu
una safari ndefu sana kwa tatizo ilo ni vile hawakuambii ukweli sehemu ya ubongo imeshapoteza uwezo wa kufanya kazi kwa kukosa hewa wakati anazaliwa
kama hana degedege mtafutie mtu wa kumfundisha developmental milestone (physio) kwa sasa

miaka ijayo naona kampuni ya neuralink ya bwana elon musk inafanya vizuri tunaweza pata matibabu uko mbeleni
yah, hiyo ni cerebral palsy, sasa anahitaji zaidi physiotherapy
 
pole sana mkuu
una safari ndefu sana kwa tatizo ilo ni vile hawakuambii ukweli sehemu ya ubongo imeshapoteza uwezo wa kufanya kazi kwa kukosa hewa wakati anazaliwa
kama hana degedege mtafutie mtu wa kumfundisha developmental milestone (physio) kwa sasa

miaka ijayo naona kampuni ya neuralink ya bwana elon musk inafanya vizuri tunaweza pata matibabu uko mbK
 
pole sana mkuu
una safari ndefu sana kwa tatizo ilo ni vile hawakuambii ukweli sehemu ya ubongo imeshapoteza uwezo wa kufanya kazi kwa kukosa hewa wakati anazaliwa
kama hana degedege mtafutie mtu wa kumfundisha developmental milestone (physio) kwa sasa

miaka ijayo naona kampuni ya neuralink ya bwana elon musk inafanya vizuri tunaweza pata matibabu uko mbeleni
Aisee,kwa Nini usimjibu swali kadri alivyouliza?! Haya mengine ...kama yapo ataelezwa na Wataalam wanaomhudumia ! Tusimchqnganye.
 
Wakuu habari..

Mtoto wangu alikuwa na changamoto ya kuchelewa kulia tangu alipozaliwa 2022 July, baada ya hapo akawa anapata degedege tukawa tumepeleka kwenye vipimo hospital ya Benjamin Dodoma kufanya vipimo vya EEG TEST pamoja na CT scan.

Majibu ya CT scan hayakuonesha chochote ila EEG test yalionesha degedege bado ipo na tukaandikiwa dawa aina ya sodium valproate.

Ameendelea kutumia hio dawa lakini hali ya kushtuka bado ipo japo hapotezi fahamu kama hapo awali, hivyo basi tumeandikiwa rufaa hapo muhimbili kuonana na daktari bingwa wa mfumo wa fahamu kwa watoto.

Maendeleo yake mpaka Sasa mtoto hajaanza kutambaa, kusimamia, Wala kutembea.
Ombi langu kwenu.. DAKTARI GANI wa kumuona pale muhimbili ili amuone mtoto na uchunguzi zaidi?

Mbarikiwe😭😭😭
Pole sana mdogo wangu
 
Back
Top Bottom