Crystal field theory
JF-Expert Member
- Sep 16, 2014
- 940
- 401
- Thread starter
-
- #21
Sawa ntadeal na rufaa yake tuKupewa rufaa tu maana yake unaenda kuonana na Dr bingwa hapo muhimbili, sasa ww unahitaji Dr mwingine wa Nini? Hapo ndipo mnapojitengenezea mazingira ya kupigwa pesa
Pole sana ndugu, umenifanya nifikirie tofauti...Wakuu habari..
Mtoto wangu alikuwa na changamoto ya kuchelewa kulia tangu alipozaliwa 2022 July, baada ya hapo akawa anapata degedege tukawa tumepeleka kwenye vipimo hospital ya Benjamin Dodoma kufanya vipimo vya EEG TEST pamoja na CT scan.
Majibu ya CT scan hayakuonesha chochote ila EEG test yalionesha degedege bado ipo na tukaandikiwa dawa aina ya sodium valproate.
Ameendelea kutumia hio dawa lakini hali ya kushtuka bado ipo japo hapotezi fahamu kama hapo awali, hivyo basi tumeandikiwa rufaa hapo muhimbili kuonana na daktari bingwa wa mfumo wa fahamu kwa watoto.
Maendeleo yake mpaka Sasa mtoto hajaanza kutambaa, kusimamia, Wala kutembea.
Ombi langu kwenu.. DAKTARI GANI wa kumuona pale muhimbili ili amuone mtoto na uchunguzi zaidi?
Mbarikiwe😭😭😭
Pole sana Kwa changamoto hii. Ukifika pale mhimbili emergency watakuelekeza vizuri bila Shaka yoyote ondoa wasiwasi.Wakuu habari..
Mtoto wangu alikuwa na changamoto ya kuchelewa kulia tangu alipozaliwa 2022 July, baada ya hapo akawa anapata degedege tukawa tumepeleka kwenye vipimo hospital ya Benjamin Dodoma kufanya vipimo vya EEG TEST pamoja na CT scan.
Majibu ya CT scan hayakuonesha chochote ila EEG test yalionesha degedege bado ipo na tukaandikiwa dawa aina ya sodium valproate.
Ameendelea kutumia hio dawa lakini hali ya kushtuka bado ipo japo hapotezi fahamu kama hapo awali, hivyo basi tumeandikiwa rufaa hapo muhimbili kuonana na daktari bingwa wa mfumo wa fahamu kwa watoto.
Maendeleo yake mpaka Sasa mtoto hajaanza kutambaa, kusimamia, Wala kutembea.
Ombi langu kwenu.. DAKTARI GANI wa kumuona pale muhimbili ili amuone mtoto na uchunguzi zaidi?
Mbarikiwe😭😭😭
pole sana mkuu, Mungu akufanyie wepesi apone harakaWakuu habari..
Mtoto wangu alikuwa na changamoto ya kuchelewa kulia tangu alipozaliwa 2022 July, baada ya hapo akawa anapata degedege tukawa tumepeleka kwenye vipimo hospital ya Benjamin Dodoma kufanya vipimo vya EEG TEST pamoja na CT scan.
Majibu ya CT scan hayakuonesha chochote ila EEG test yalionesha degedege bado ipo na tukaandikiwa dawa aina ya sodium valproate.
Ameendelea kutumia hio dawa lakini hali ya kushtuka bado ipo japo hapotezi fahamu kama hapo awali, hivyo basi tumeandikiwa rufaa hapo muhimbili kuonana na daktari bingwa wa mfumo wa fahamu kwa watoto.
Maendeleo yake mpaka Sasa mtoto hajaanza kutambaa, kusimamia, Wala kutembea.
Ombi langu kwenu.. DAKTARI GANI wa kumuona pale muhimbili ili amuone mtoto na uchunguzi zaidi?
Mbarikiwe😭😭😭
Asante sana mkuuPole sana ndugu, umenifanya nifikirie tofauti...
Mimi mtoto wangu mdogo ni mtundu sana, ana mwaka na nusu amekuwa akinikera ile kuhamisha vitu, yaani kila kitu anachoweza kubeba anachukua ana peleka kusiko mahala pake, halafu sasa hachoki eti apumzike.
Yaani bandiko lako limenifanya nione kila anachofanya huyu mtoto ni sawa tu,
Asante sana mkuuPole sana Kwa changamoto hii. Ukifika pale mhimbili emergency watakuelekeza vizuri bila Shaka yoyote ondoa wasiwasi.
Asante sana mkuupole sana mkuu, Mungu akufanyie wepesi apone haraka
Pole mkuu, vipi kichwa kimekaza lakini na macho vipi yako na ushirikiano na vipi kuhusu kufanya fujo kitandani anafanya.Wakuu habari..
Mtoto wangu alikuwa na changamoto ya kuchelewa kulia tangu alipozaliwa 2022 July, baada ya hapo akawa anapata degedege tukawa tumepeleka kwenye vipimo hospital ya Benjamin Dodoma kufanya vipimo vya EEG TEST pamoja na CT scan.
Majibu ya CT scan hayakuonesha chochote ila EEG test yalionesha degedege bado ipo na tukaandikiwa dawa aina ya sodium valproate.
Ameendelea kutumia hio dawa lakini hali ya kushtuka bado ipo japo hapotezi fahamu kama hapo awali, hivyo basi tumeandikiwa rufaa hapo muhimbili kuonana na daktari bingwa wa mfumo wa fahamu kwa watoto.
Maendeleo yake mpaka Sasa mtoto hajaanza kutambaa, kusimamia, Wala kutembea.
Ombi langu kwenu.. DAKTARI GANI wa kumuona pale muhimbili ili amuone mtoto na uchunguzi zaidi?
Mbarikiwe😭😭😭
Kichwa kimekaza siku nyingii sana na anafanya fujo pia mkuuPole mkuu, vipi kichwa kimekaza lakini na macho vipi yako na ushirikiano na vipi kuhusu kufanya fujo kitandani anafanya.
yah, hiyo ni cerebral palsy, sasa anahitaji zaidi physiotherapypole sana mkuu
una safari ndefu sana kwa tatizo ilo ni vile hawakuambii ukweli sehemu ya ubongo imeshapoteza uwezo wa kufanya kazi kwa kukosa hewa wakati anazaliwa
kama hana degedege mtafutie mtu wa kumfundisha developmental milestone (physio) kwa sasa
miaka ijayo naona kampuni ya neuralink ya bwana elon musk inafanya vizuri tunaweza pata matibabu uko mbeleni
pole sana mkuu
una safari ndefu sana kwa tatizo ilo ni vile hawakuambii ukweli sehemu ya ubongo imeshapoteza uwezo wa kufanya kazi kwa kukosa hewa wakati anazaliwa
kama hana degedege mtafutie mtu wa kumfundisha developmental milestone (physio) kwa sasa
miaka ijayo naona kampuni ya neuralink ya bwana elon musk inafanya vizuri tunaweza pata matibabu uko mbK
Nipo DODOMA.. safari naanza wiki ijayo mkuuhiyo barua Yao ya rufaa lazima itakuwa imeandikwa idara
uko mkoa gani ...na lini safari utaanza
Sawayah, hiyo ni cerebral palsy, sasa anahitaji zaidi physiotherapy
Aisee,kwa Nini usimjibu swali kadri alivyouliza?! Haya mengine ...kama yapo ataelezwa na Wataalam wanaomhudumia ! Tusimchqnganye.pole sana mkuu
una safari ndefu sana kwa tatizo ilo ni vile hawakuambii ukweli sehemu ya ubongo imeshapoteza uwezo wa kufanya kazi kwa kukosa hewa wakati anazaliwa
kama hana degedege mtafutie mtu wa kumfundisha developmental milestone (physio) kwa sasa
miaka ijayo naona kampuni ya neuralink ya bwana elon musk inafanya vizuri tunaweza pata matibabu uko mbeleni
Anhaa basi tatizo lake sio critical kiasi hiko, wacha wataalam waje wakuelekeze huyo daktari bingwa wa pediatric neurology, Mungu mwema atambariki.Kichwa kimekaza siku nyingii sana na anafanya fujo pia mkuu
CCBRT wako vizuri sana!, na ndyo main objective (rehabilitation) ya hiyo centerSawa
usiogope muhimbili inaogofya kwa kusikia kwawatu na hata ambao pengine hatakufika hawajawahi nitumie hiyo rufaa nboxNipo DODOMA.. safari naanza wiki ijayo mkuu
Pole sana mdogo wanguWakuu habari..
Mtoto wangu alikuwa na changamoto ya kuchelewa kulia tangu alipozaliwa 2022 July, baada ya hapo akawa anapata degedege tukawa tumepeleka kwenye vipimo hospital ya Benjamin Dodoma kufanya vipimo vya EEG TEST pamoja na CT scan.
Majibu ya CT scan hayakuonesha chochote ila EEG test yalionesha degedege bado ipo na tukaandikiwa dawa aina ya sodium valproate.
Ameendelea kutumia hio dawa lakini hali ya kushtuka bado ipo japo hapotezi fahamu kama hapo awali, hivyo basi tumeandikiwa rufaa hapo muhimbili kuonana na daktari bingwa wa mfumo wa fahamu kwa watoto.
Maendeleo yake mpaka Sasa mtoto hajaanza kutambaa, kusimamia, Wala kutembea.
Ombi langu kwenu.. DAKTARI GANI wa kumuona pale muhimbili ili amuone mtoto na uchunguzi zaidi?
Mbarikiwe😭😭😭