Inaumiza mno mtoto akiwa kwenye hali hiyoNikiwaza mtoto wa dada yangu ana 6½yrs hawezi hata kuongea napata uchungu sana.
Pole sana mkuu.
Nina imani madaktari bingwa watakusaidia na atapona.
Pole sana huko barabara zimefungwaWakuu habari..
Mtoto wangu alikuwa na changamoto ya kuchelewa kulia tangu alipozaliwa 2022 July, baada ya hapo akawa anapata degedege tukawa tumepeleka kwenye vipimo hospital ya Benjamin Dodoma kufanya vipimo vya EEG TEST pamoja na CT scan.
Majibu ya CT scan hayakuonesha chochote ila EEG test yalionesha degedege bado ipo na tukaandikiwa dawa aina ya sodium valproate.
Ameendelea kutumia hio dawa lakini hali ya kushtuka bado ipo japo hapotezi fahamu kama hapo awali, hivyo basi tumeandikiwa rufaa hapo muhimbili kuonana na daktari bingwa wa mfumo wa fahamu kwa watoto.
Maendeleo yake mpaka Sasa mtoto hajaanza kutambaa, kusimamia, Wala kutembea.
Ombi langu kwenu.. DAKTARI GANI wa kumuona pale muhimbili ili amuone mtoto na uchunguzi zaidi?
Mbarikiwe😭😭😭
AmeenPolesana mkuu
Mungu akutangulie
Asante sana..ameenNikiwaza mtoto wa dada yangu ana 6½yrs hawezi hata kuongea napata uchungu sana.
Pole sana mkuu.
Nina imani madaktari bingwa watakusaidia na atapona.
Kabisa mkuuUsihukumu usije ukahukumiwa.
Kabisa.Inaumiza mno mtoto akiwa kwenye hali hiyo
Mungu ampe nguvu na hekima ya juu mtoamada
Amina.Asante sana..ameen
Watu ni wepesi sana wa kuhukumu.Kabisa mkuu
Mungu akuongoze ktk kumsaidia kwa chochote Cha kitabibu.usiogope muhimbili inaogofya kwa kusikia kwawatu na hata ambao pengine hatakufika hawajawahi nitumie hiyo rufaa nbox
Pole sana mkuu, I can feel the painWakuu habari..
Mtoto wangu alikuwa na changamoto ya kuchelewa kulia tangu alipozaliwa 2022 July, baada ya hapo akawa anapata degedege tukawa tumepeleka kwenye vipimo hospital ya Benjamin Dodoma kufanya vipimo vya EEG TEST pamoja na CT scan.
Majibu ya CT scan hayakuonesha chochote ila EEG test yalionesha degedege bado ipo na tukaandikiwa dawa aina ya sodium valproate.
Ameendelea kutumia hio dawa lakini hali ya kushtuka bado ipo japo hapotezi fahamu kama hapo awali, hivyo basi tumeandikiwa rufaa hapo muhimbili kuonana na daktari bingwa wa mfumo wa fahamu kwa watoto.
Maendeleo yake mpaka Sasa mtoto hajaanza kutambaa, kusimamia, Wala kutembea.
Ombi langu kwenu.. DAKTARI GANI wa kumuona pale muhimbili ili amuone mtoto na uchunguzi zaidi?
Mbarikiwe😭😭😭
AmeenKabisa.
Wazazi tunaumia sana kuona matarajio yetu yanaenda sivyo.
Mungu amsaidie tu kwa kweli.
Sawa mkuu.. shukranpole sana kwa kuuguza, pamoja na rufaa kwenda muhimbili naomba ukipata muda unaweza fika regency medical centre mtafute dakta raheem in sha allah anaweza kukusaidia pakubwa tatizo la kijana wetu.