Nimeangalia debate ya Trump na Kamala. Hizi ndio takeaways nilizoambulia

Huku gizani kwa watu unakuta wananchi wakimshukuru rais kwa barabara utafikiri ametoa pesa yake mfukoni wakati hawajui kuwa ni kodi zao. Huku kwenye mwanga kwa binadamu ukiwa rais ni lazima utoe huduma za kijamii kama elimu, afya, maji, barabara na hupaswi au hakuna wa kukushukuru
 
Trump anasema atamaliza vita ya Israel na Hamas, sasa ataimalizaje hapa ndio najiuliza,
Atamaliza kwa.kuhakikisha ,huo msikiti wa alaqsa, ni ama unabomolewa au waisrael wanaruhusiwa Rasimi kuabudi hapo.

Ikumbukwe, Trump ni anaamin Israel ni Taifa Teule la Mungu.

Ndiocmaana aliaamisha Balozi za Marekan kuzileta Magharibi ya Jerusalemi
 
Nashangaa kwamba Kamala hakumshutumu Trump kwa racial segregation!
 
sawa....tushaona debate nyingi za huko marekani
Sasa na sisi tunataka mdahalo wa wagombea wa kwetu sasa 😄


ova
HHaha utasikia anaumwa maara amepata ziara ya kwnda china
 
Inaumiza sana ndugu
 
Mambo ya kuteka na kuua wapinzani kule hamna!

..hakuna kuua wapinzani.

..ajabu nyingine ni Amiri Jeshi Mkuu na Raisi aliyeko madarakani kushindwa ktk uchaguzi na kulalamika kuibiwa kura.

..yaani ameshindwa kutumia watu wasiojulikana, silaha za nyuklia, na dola, kubaki madarakani.
 
Trump anasema atamaliza vita ya Israel na Hamas, sasa ataimalizaje hapa ndio najiuliza,
Trump sio vuguvugu, ni ama moto ama baridi. Ndio maana haumi maneno yuko too direct haongei kwa utaalamu wa kisiasa (uongo + ulaghai).

Trump akilazimisha vita ya Hamas na Israel iishe anakuwa serious. Anawaita mnakubaliana alafu ole wenu muwe vichwa ngymu. Akiamua vita ya Ukraine iishe inaisha, ni kuzungumza na pande zote wakakubaliana. Urusi ikubali vita iishe au ikatae Ukraine ipewe silaha nyingi kuliko sasa.

Ni kama alivyokubaliana na Kim Jong na akawa sawa na North Korea kwa muda. Au alivyoshindwana na Iran akamuua mkuu wa IRGC Jenerali Soleimani. Au alivyoshinikiza Wachina akaingia trade war.

Kwa Trump unaamua kusuka ama kunyoa. Kwa Biden au Kamala mnajizungusha na kujadiliana sana.
 
..hakuna kuua wapinzani.

..ajabu nyingine ni Amiri Jeshi Mkuu na Raisi aliyeko madarakani kushindwa ktk uchaguzi na kulalamika kuibiwa kura.

..yaani ameshindwa kutumia watu wasiojulikana, silaha za nyuklia, na dola, kubaki madarakani.
Wenzetu walistaarabika kitambo
 
Sasa kwajinsi anavyomkubali Putin, naiona Ukraine ikishindwa vita mapema ikiwa ataingia madarakani,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…