mbalizi1
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 21,057
- 41,992
Vita ya tangu enzi na enzi aje aimalize Trump ,how?Trump anasema atamaliza vita ya Israel na Hamas, sasa ataimalizaje hapa ndio najiuliza,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vita ya tangu enzi na enzi aje aimalize Trump ,how?Trump anasema atamaliza vita ya Israel na Hamas, sasa ataimalizaje hapa ndio najiuliza,
Unatumia vigezo gani kudai Trump anamkubali PutinSasa kwajinsi anavyomkubali Putin, naiona Ukraine ikishindwa vita mapema ikiwa ataingia madarakani,
Kwa haraka haraka sera za kamala ni too general, hazina tofauti na za nchi zinazo endelea.
Lakini pia sera za Trump ni ngumu na zinazohitaji mikakati mikubwa.
Kampeni zake nyingi amedai kuwa vitendo vya Biden kuidhinisha pesa kwaajili ya kuisaidia Ukraine nisawa na marekani kuchochea vita, sera yake hiyo ndio inatufanya tuamimi kuwa ana uswahiba na putinUnatumia vigezo gani kudai Trump anamkubali Putin
Alqsa haitabomolewa na Trump, itabomolewa kwenye utawala wa mpinga kristo ambao uko karibu mno. Utakuwa utawala mwingine sio huuAtamaliza kwa.kuhakikisha ,huo msikiti wa alaqsa, ni ama unabomolewa au waisrael wanaruhusiwa Rasimi kuabudi hapo.
Ikumbukwe, Trump ni anaamin Israel ni Taifa Teule la Mungu.
Ndiocmaana aliaamisha Balozi za Marekan kuzileta Magharibi ya Jerusalemi
Wayahudi wanaamini bado Wanamngoja masihi wao, sio Yesu.Alqsa haitabomolewa na Trump, itabomolewa kwenye utawala wa mpinga kristo ambao uko karibu mno. Utakuwa utawala mwingine sio huu
Na mimi napenda hili litekelezwe na huku Tz...wachina / wahindi n.k timua wakabanane kwao uko...Trump anakubalika kwa sera moja tu...kutimua wagen na kuwazuia wasiingie uko wanaziba rizki tu