Nimeangukia kwa single Mother

Nimeangukia kwa single Mother

Hakuna singo maza atakuambia ameachana na aliyezaa nae juzi au jana au wiki au mwezi, atakuambia alizalishwa wakaachana mtoto akiwa na miez au mwaka... Hakuna singo maza atakuambia bado ana mawasiliano na baba mtoto... Hakuna singo maza ataonyesha madhaifu yake yaliyomfanya aachwe atayaficha ili umuamini she's perfect alionewa tu kuachwa...

The only thing you can do Mzalishe kama alivyo mzalisha mwanaume mwenzako then muache kama alivyo achwa...

KATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUMI...
 
Ndugu zangu,

Mimi mmoja kati ya wale vijana ambao niliapa kutooa single mother na pia ni muumini wa kataa ndoa ila sasa kama mnavojua usilolijua ni sawa na usiku wa giza katika pilikapilika nikakutana na huyu mdada mmoja tukaanzisha mahusiano kama kawaida ila siku zinavyozidi kwenda naona naona kabisa ana vigezo vyote vya kuitwa mke.

Huyu binti ni mzuri wa sura mpka shepu ana fanya kazi zake mwenyewe sio ombaomba kama hao wenu na ananionesha mapenzi ya dhati kabisa na kuniheshimu ila shida ni kuwa tayari ana mtoto, kizuri pia kwa first day namtongoza hakunificha aliniambia kabisa ana mtoto ila baba ake walishaachana wakati mtoto ana miezi 3, huyu dogo asaivi ana 6 yupo kwa bibi ake na huyo baba ake yupo kenya.

Kwa mapenzi anayonipa nafikiria kubadili mtazamo wangu wa kutooa single maza mi naoa huyu huyu maana hawa wengine shida tupu. Kuhusu kusomesha na huduma za mtoto hilo nimemwambia sio jukumu langu labda nisaidie tu baadhi ya mambo madogomadogo tu.

NB: Huyu dada sio mtanzania ni mkenya wa mombasa.
Maelezo hayo ni ya binti nnaemfahamu [emoji848], Anyways pengine ni taarifa zinazofanana tu
 
Hakuna singo maza atakuambia ameachana na aliyezaa nae juzi au jana au wiki au mwezi, atakuambia alizalishwa wakaachana mtoto akiwa na miez au mwaka... Hakuna singo maza atakuambia bado ana mawasiliano na baba mtoto... Hakuna singo maza ataonyesha madhaifu yake yaliyomfanya aachwe atayaficha ili umuamini she's perfect alionewa tu kuachwa...
The only thing you can do Mzalishe kama alivyo mzalisha mwanaume mwenzako then muache kama alivyo achwa...
KATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUMI...
Aisee
 
Hakuna singo maza atakuambia ameachana na aliyezaa nae juzi au jana au wiki au mwezi, atakuambia alizalishwa wakaachana mtoto akiwa na miez au mwaka... Hakuna singo maza atakuambia bado ana mawasiliano na baba mtoto... Hakuna singo maza ataonyesha madhaifu yake yaliyomfanya aachwe atayaficha ili umuamini she's perfect alionewa tu kuachwa...
The only thing you can do Mzalishe kama alivyo mzalisha mwanaume mwenzako then muache kama alivyo achwa...
KATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUMI...
Mbona mnanitisha sasa badala ya kunipa moyo kaka zangu
 
Kwanini vitoto vya kiume vya miaka ya 2000 na mwishoni mwa miaka ya 90 havinaga misimamo, na ni rahisi kua manipulated haraka ndani ya miazi mitatu umeona wife material eti baba wa mtoto iko Kenya stupid.......wanawake wanapenda wanaume wajingawajinga kama wewe hapo habanduki
Si ndio kizazi cha wanawake wasiojielewa ndio kilianza kutamalaki.
 
Anaitwa nani
Kwa namna nlivyomfahamu na mazingira yaliyofanya nkamfahamu nna uhakika jina aliongopa....( Catherine )

Madai yake alikua anaishi Ilala bungoni

Ni mrefu kiasi hivi, sio mnene wala mwembamba sana...Ana mtoto na baba yake alidai anaishi Mombasa na hata yeye huwa anaenda na kurudi...Ana lafudhi ya watu wa Kenya japo sio rafudhi ile iliyozidii
 
Kwa namna nlivyomfahamu na mazingira yaliyofanya nkamfahamu nna uhakika jina aliongopa....( Catherine )

Madai yake alikua anaishi Ilala bungoni

Ni mrefu kiasi hivi, sio mnene wala mwembamba sana...Ana mtoto na baba yake alidai anaishi Mombasa na hata yeye huwa anaenda na kurudi...Ana lafudhi ya watu wa Kenya japo sio rafudhi ile iliyozidii
Dah maelezo ndio hayo kasoro jina huyu ni muislam ana lafudhi ya kimombasa
 
Hata akikuonyesha kaburi la alie mzalisha inabidi uende mahakamani ukaombe kibali cha kufukua kaburi ili ujiridhishe Kama ni kweli alikufa vinginevyo ukweli mchungu ila inabidi tukueleze umeteketea bro
 
Vijana wa siku hizi ndoa hazifiki mbali kwa sababu hamtaki kabisa kushirikisha wala kuwajua wazazi bali utasikia tu tumependana

Hivi mkiwa wadogo huwa mnafundishwa nini na wazazi? Au mnazaliwa wengi nje ya ndoa?

Wengi mnaojuana hamuwajua wazazi wa upande wa pili na wala hamtaki kujua kabisa, sasa hizo Baraka za ndoa huwa mnazipata wapi?
Kwa washikaji na humu JF ama?

Poleni sana ndio maana wakataa ndoa wako kibao kwa sasa mnaokotana njiani tu
 
Ndugu zangu,

Mimi mmoja kati ya wale vijana ambao niliapa kutooa single mother na pia ni muumini wa kataa ndoa ila sasa kama mnavojua usilolijua ni sawa na usiku wa giza katika pilikapilika nikakutana na huyu mdada mmoja tukaanzisha mahusiano kama kawaida ila siku zinavyozidi kwenda naona naona kabisa ana vigezo vyote vya kuitwa mke.

Huyu binti ni mzuri wa sura mpka shepu anafanya kazi zake mwenyewe sio ombaomba kama hao wenu na ananionesha mapenzi ya dhati kabisa na kuniheshimu ila shida ni kuwa tayari ana mtoto, kizuri pia kwa first day namtongoza hakunificha aliniambia kabisa ana mtoto ila baba ake walishaachana wakati mtoto ana miezi 3, huyu dogo sasa hivi ana 6 yupo kwa bibi yake na huyo baba yake yupo Kenya.

Kwa mapenzi anayonipa nafikiria kubadili mtazamo wangu wa kutooa single maza mi naoa huyu huyu maana hawa wengine shida tupu. Kuhusu kusomesha na huduma za mtoto hilo nimemwambia sio jukumu langu labda nisaidie tu baadhi ya mambo madogomadogo tu.

NB: Huyu dada sio Mtanzania ni Mkenya wa Mombasa.
Sasa kama umeshaamua kuoa humu JF umeleta kuomba ushauri au kuturingishia huyo mama
 
Back
Top Bottom