Nimeangukia kwa single Mother

Nimeangukia kwa single Mother

Hakuna singo maza atakuambia ameachana na aliyezaa nae juzi au jana au wiki au mwezi, atakuambia alizalishwa wakaachana mtoto akiwa na miez au mwaka... Hakuna singo maza atakuambia bado ana mawasiliano na baba mtoto... Hakuna singo maza ataonyesha madhaifu yake yaliyomfanya aachwe atayaficha ili umuamini she's perfect alionewa tu kuachwa...
The only thing you can do Mzalishe kama alivyo mzalisha mwanaume mwenzako then muache kama alivyo achwa...
KATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUMI...
''KATAA NDOA UISHI KWA UIMARIKE KIUCHUMI'' nimeipenda hii kauli
 
Mbona mnanitisha sasa badala ya kunipa moyo kaka zangu
Wewe hujifunzi tu,hivi unadhani atakupenda kuliko huyo mtoto,au anakuambia hivyo ajihakikishie usalama wa aibu yake....au hukusoma uzi wa yule jamaa aliomba mwarabu single mama kwa mtindo huu wa kwako yakaja,kumkuta makubwa baadae
 
Ndugu zangu,

Mimi mmoja kati ya wale vijana ambao niliapa kutooa single mother na pia ni muumini wa kataa ndoa ila sasa kama mnavojua usilolijua ni sawa na usiku wa giza katika pilikapilika nikakutana na huyu mdada mmoja tukaanzisha mahusiano kama kawaida ila siku zinavyozidi kwenda naona naona kabisa ana vigezo vyote vya kuitwa mke.

Huyu binti ni mzuri wa sura mpka shepu anafanya kazi zake mwenyewe sio ombaomba kama hao wenu na ananionesha mapenzi ya dhati kabisa na kuniheshimu ila shida ni kuwa tayari ana mtoto, kizuri pia kwa first day namtongoza hakunificha aliniambia kabisa ana mtoto ila baba ake walishaachana wakati mtoto ana miezi 3, huyu dogo sasa hivi ana 6 yupo kwa bibi yake na huyo baba yake yupo Kenya.

Kwa mapenzi anayonipa nafikiria kubadili mtazamo wangu wa kutooa single maza mi naoa huyu huyu maana hawa wengine shida tupu. Kuhusu kusomesha na huduma za mtoto hilo nimemwambia sio jukumu langu labda nisaidie tu baadhi ya mambo madogomadogo tu.

NB: Huyu dada sio Mtanzania ni Mkenya wa Mombasa.
Wewe unaoa mwanamke na vitu vinavyojenga ndoa Ni
UPENDO,heshima,uvumilivu,nk.
Kama Ana vigezo wewe OA.Unaweza kupata mtu asiye na mtoto na AKAWA pasua kichwa
 
Single maza ni kumzalisha tena afu unajiweka kando, kumuoa ni hasara kubwa.

Usipomfanyia kitu atadai Baba fulani alikuwa hivi na vile
 
Singo maza ni salufyuriki acid...kuoa hao ni sawa na kuchukua utajiri wa punje...mapenz yamekupofusha had akili,anyway all the best ktk safar ya golgota
 
Ndugu zangu,

Mimi mmoja kati ya wale vijana ambao niliapa kutooa single mother na pia ni muumini wa kataa ndoa ila sasa kama mnavojua usilolijua ni sawa na usiku wa giza katika pilikapilika nikakutana na huyu mdada mmoja tukaanzisha mahusiano kama kawaida ila siku zinavyozidi kwenda naona naona kabisa ana vigezo vyote vya kuitwa mke.

Huyu binti ni mzuri wa sura mpka shepu anafanya kazi zake mwenyewe sio ombaomba kama hao wenu na ananionesha mapenzi ya dhati kabisa na kuniheshimu ila shida ni kuwa tayari ana mtoto, kizuri pia kwa first day namtongoza hakunificha aliniambia kabisa ana mtoto ila baba ake walishaachana wakati mtoto ana miezi 3, huyu dogo sasa hivi ana miaka 6 yupo kwa bibi yake na huyo baba yake yupo Kenya.

Kwa mapenzi anayonipa nafikiria kubadili mtazamo wangu wa kutooa single maza mi naoa huyu huyu maana hawa wengine shida tupu. Kuhusu kusomesha na huduma za mtoto hilo nimemwambia sio jukumu langu labda nisaidie tu baadhi ya mambo madogomadogo tu.

NB: Huyu dada sio Mtanzania ni Mkenya wa Mombasa.
Oa mkuu uwe case study
 
Mi naona ingekuwa heri ungeandika haya wakati ushamwoa....ila hili laweza kukufanya usitimize malengo.
Ngoja waje wasagia kunguni
Aoe aje atuletee mrejesho. Pengine wa Mombasa wana tofauti na wa bongo
 
Hakuna singo maza atakuambia ameachana na aliyezaa nae juzi au jana au wiki au mwezi, atakuambia alizalishwa wakaachana mtoto akiwa na miez au mwaka... Hakuna singo maza atakuambia bado ana mawasiliano na baba mtoto... Hakuna singo maza ataonyesha madhaifu yake yaliyomfanya aachwe atayaficha ili umuamini she's perfect alionewa tu kuachwa...
The only thing you can do Mzalishe kama alivyo mzalisha mwanaume mwenzako then muache kama alivyo achwa...
KATAA NDOA UISHI KWA AMANI UIMARIKE KIUCHUMI...
Mkuu umeongea ukweli mtupu. Single mother akiachwa huwa anajifunza na kutokifanya kiluchomfanya aachwe hadi pale atakapo ingia ndani ndio vumbi linatimka
 
Mbona mnanitisha sasa badala ya kunipa moyo kaka zangu
Mkuu watu hawakutishi wanakuambia ukweli ulio mchungu. Usipende kuambiwa vitu vya kufurahisha moyo tu jifunze kusikiliza na ukweli mchungu. Umeleta uzi mkuu ili ushauriwe watu ndio wanakushauri ila maamuzi ni yako mkuu.

Single mother wengi ni shida mkuu. Satu wanaongea from their experiences. Single mother ni waigizaji kuliko hata maigizo yenyewe
 
Kijana ishi unavyotaka usiishi kwa mitazamo ya watu.
Mse** namba 1 ni mtu asiye na misimamo yake. Hata sheria ziliundwa na watu, nawe kuwa na rules zako.
Si kila kitu cha kuanzishia uzi humu.
 
Back
Top Bottom