Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Tupe uzoefu wako huko FINCA mkuu. Natafuta connection niwe nanunua mali za wadaiwa kwa bei za hasaraNimefanya kazi FINCA..... najua mziki wa mikopo.......... kwa mfano una wateja 100, utaweza kuchukua vitu vyao wote?........labda kama unatoa mikopo mikubwa uchukue kadi ya gari au hati ya nyumba.....sasa mkopo wa laki 2 utachukua nini mkuu?
kuna connection moja nikikupa kuhusu mikopo hasa hii ya FINCA utapiga pesa nzuri sana, na bila usumbufu....lakini naogopa utanizingua😆Tupe uzoefu wako huko FINCA mkuu. Natafuta connection niwe nanunua mali za wadaiwa kwa bei za hasara
Kaka ntakuzinguaje ndugu wakati hata hatufahamiani. Hebu nisaidie kijana mwenzio, nitakukumbuka sana..😒😒kuna connection moja nikikupa kuhusu mikopo hasa hii ya FINCA utapiga pesa nzuri sana, na bila usumbufu....lakini naogopa utanizingua😆
Tumwagie mambo bosskuna connection moja nikikupa kuhusu mikopo hasa hii ya FINCA utapiga pesa nzuri sana, na bila usumbufu....lakini naogopa utanizingua😆
Idea nzuri Sana! sasa dhamana inaweza kuwa kitu gani kwa unaemkopesha?Kuna mtu aliwahi kunishauri kwamba kama nakopesha basi niandikishane na mtu kwamba nilimsaidia sio nilimkopesha kwa sababu sina usajili
mfano, kama nakopesha elfu 40, rejesho ni 28,000 jumla 68,000 in two weeks
basi tuandikishane kwamba nimekusaidia elfu 68,000 umpeleke mtoto hospitali kisha utazirudisha baada ya wiki 2[emoji28][emoji28][emoji28]
Dhamana lazima ufikirie wewe mwenyewe kitu chenye thamani mara 2 au zaidi ya pesa uliyokopesha.Idea nzuri Sana! sasa dhamana inaweza kuwa kitu gani kwa unaemkopesha?
Watu mna riba kweli kweli. Mimi nakopesha Kwa riba ya 10% tu Kwa mwezi. Hapo mwisho wa mwez angenipa 220,000 tukwa laki 2 mfumo wangu utakupa riba ya 160,000 kwa mwezi.
are you okay with that?
Mi kusubiri mwisho wa mwezi naona nachelewa sana kufika uchumi wa kati😅😅😅Watu mna riba kweli kweli. Mimi nakopesha Kwa riba ya 10% tu Kwa mwezi. Hapo mwisho wa mwez angenipa 220,000 tu
Ni mjin au kijijin?Mi kusubiri mwisho wa mwezi naona nachelewa sana kufika uchumi wa kati😅😅😅
Nikikupa hela jumapili niletee hela na riba au riba pekee jumapili inayofuata.
7 Days principle with 20% Interest
Katikati ya jiji la miambaNi mjin au kijijin?
Hii ni 20%Watu mna riba kweli kweli. Mimi nakopesha Kwa riba ya 10% tu Kwa mwezi. Hapo mwisho wa mwez angenipa 220,000 tu
St kayumba😝
Mke wake🤣🤣🤣🤣Nimefanya kazi FINCA..... najua mziki wa mikopo.......... kwa mfano una wateja 100, utaweza kuchukua vitu vyao wote?........labda kama unatoa mikopo mikubwa uchukue kadi ya gari au hati ya nyumba.....sasa mkopo wa laki 2 utachukua nini mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji119]Tupe uzoefu wako huko FINCA mkuu. Natafuta connection niwe nanunua mali za wadaiwa kwa bei za hasara
[emoji23][emoji23][emoji23]sasa anakuzinguaje mkuukuna connection moja nikikupa kuhusu mikopo hasa hii ya FINCA utapiga pesa nzuri sana, na bila usumbufu....lakini naogopa utanizingua[emoji38]
[emoji23]
Mkuu kama bado unatoa mkopo bado ninao uhitaji tafadhaliWatu mna riba kweli kweli. Mimi nakopesha Kwa riba ya 10% tu Kwa mwezi. Hapo mwisho wa mwez angenipa 220,000 tu
Changamkia fursa muda ndio huuThis week earning chat ndio hio.
watu wanakopa hadi kwa masaa tu wanarudisha hela ya wiki[emoji120][emoji120][emoji120]
View attachment 2162071