Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Mkuu usidhani hela zinaondoka kirahisi rahisi kwamba tunatapeliwa huku hatujajipanga.Unakabidhi mtaji wako kwa watu, subiri muda kidogo utajua hujui. Bora ufungue genge ufanye biashara za kawaida. Sikia kukopesha, Mkopaji anaweza akaingia mkatabata wowote unaomnyonya ili mradi tu aipate hiyo ela, akishaipata utasubiri.
Bodaboda ni wasenge wasenge sanaDunia tambara bovu. Muwe makini mnaokopesha kama mimi
.....
huyu jamaa aliweka pikipiki bondi ambazo sio zake (za mkataba, yeye ni boda boda)
binafsi.mimi namdai 428,000
mwenzangu anamdai 1,050,000
kesi iko polisi na kwa mwenyekiti wa mtaa, tumeandikishana malipo mwisho tarehe 8.7.2022
vitu vyake vya ndani viko chini ya ulinzi na vinaelekea kuuzwa vyote
amedhaminiwa na mtu mmoja
View attachment 2272608
Hela haitolewi kama mkojo mkuu.Hii biashara watu walitajirika sana enzi ya JK.
Ila kwa sasa hii biashara ukiifanya jiandae na maumivu.
Kwa sasa hali ya watanzania ni ngumu sana hali ya maisha imebadilika.
So ukifanya hii biashara utakuwa unagombana na watu kila siku,mtu haoni shida kuja kukudanganya ili umkopeshe hela ili mradi tu apate pesa ya kujikimu bila kujua hiyo pesa atailipa kwa njia gani.
Kwa hiyo fikiria mara 2 kabla hujaingia mkenge
Wateja waaminifu ndio shida. Mitaji ipoOmba Mungu akusaidie, ni biashara nzuri sana isiyohitaji fremu. Kuliko kuweka pesa benki fanya hiyo biashara. Wengi walitoboa kwa hiyo biashara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mtu mwenye shida huwa hajali hiyo mikataba,yuko tayari kuanguka saini yaani potelea mbali atajua mbele kwa mbele huko sasa usumbufu unabaki kwako mkopeshaji.Hela haitolewi kama mkojo mkuu.
Hebu fuatilia mtiririko wa T&C utaona kuna mikataba inafanyika
Rejea nyuma kwamba ninashika vitu bondi vyenye thamani mara 2 mpaka 3 ya mkopo.Mkuu mtu mwenye shida huwa hajali hiyo mikataba,yuko tayari kuanguka saini yaani potelea mbali atajua mbele kwa mbele huko sasa usumbufu unabaki kwako mkopeshaji.
Ushauri wangu ni bora uji dalalie tu mkuu!Habari za asubuhi JF people?
Mimi ni Dalali wa Viwanja Magari Nyumba & Co. Kuna pesa huwa naipata gjafla kutokana na shughuli zangu za u middle Nimeamua kuanza kukopesha.
Watu ninaoanza nao ni waaminifu sana nawafahamu. Kwa kuanza tu nimeamua kuwapa mkopo wa masharti haya:
Jana nimetoa elfu 40, after two weeks ilete Riba ya Tshs 28,000
- Kwa kila shilingi elfu 10, irejeshe Sh 500 kila siku.
- Mkopo utakaa siku 14.
Je, nipo sahihi au najiumiza kwa kiwango nilichoweka?
Je, nikipandisha kwa kila elfu 10 izae buku kila siku nitakosea?
Note: Mteja wangu ni mama ntilie
Sawa nimekuelewa.Rejea nyuma kwamba ninashika vitu bondi vyenye thamani mara 2 mpaka 3 ya mkopo.
usumbufu nautoa wapi wakati mkataba ukiisha sioni malipo napiga bei mali ya mdaiwa[emoji28][emoji28][emoji28]
Kaka biashara inaendaje....?Dunia tambara bovu. Muwe makini mnaokopesha kama mimi
.....
huyu jamaa aliweka pikipiki bondi ambazo sio zake (za mkataba, yeye ni boda boda)
binafsi.mimi namdai 428,000
mwenzangu anamdai 1,050,000
kesi iko polisi na kwa mwenyekiti wa mtaa, tumeandikishana malipo mwisho tarehe 8.7.2022
vitu vyake vya ndani viko chini ya ulinzi na vinaelekea kuuzwa vyote
amedhaminiwa na mtu mmoja
View attachment 2272608
Hiyo biashara pasua kichwa achaKaka biashara inaendaje....?
Jamaa mwenyewe kaomba kupandishaDuh 10000 kila siku analipa jero. Kweli masikini atabaki kuwa maskini daima milele amina
Baada ya kuacha unauwakika na PEPO?Nilifanya hii biashara ya kukopesha kabla ya kuacha kwa sababu za kiimani.
Ni biashara fulani inahitaji roho ngumu na kusimamia pale pale, ina vishawishi haswa kwa wadada.
We tembea kwenye principles zako tu,
Pesa yake tamu inakuja tu,unaweza ukawa unafunga msuli tu, pesa zinakuja kibarazani. ila ukikumbuka kuna mauti, kesho yangu na mambo mengi ya kiimani nikaipiga chini.
Kiongozi piga KAZI kanyaga twende.Kuna wamama wa vikundi huwa wananifuata sana.
mfano mchana huu huu, kaja mmoja anataka laki aende aka top up achukue mkopo mara 2 huko kwenye kikundi chao.
Aisee nimempa 50,000
utaratibu wake ni kwamba akichukua anarejesha kesho yake Tsh 60,000😃😃😃
hapo ndo mtaniua sasa kwa maneno. Wengine wanakuja kesho kama wawili hivi na mimi nimeishiwa Cash ndani.