Nimeanza Biashara ya Kukopesha, naomba ushauri

Nimeanza Biashara ya Kukopesha, naomba ushauri

Baada ya kusafisha kiwanja cha mchongo..
Muonekano wake na size unahitaji milioni 10 na zaidi kujenga nyumba ya kueleweka😒

IMG_20220620_172040_088.jpg
IMG_20220620_172036_544.jpg
IMG_20220620_165723_270.jpg
IMG_20220620_165624_768.jpg
IMG_20220620_165621_830.jpg
IMG_20220620_165601_481.jpg
IMG_20220620_165557_529.jpg
 
Hii biashara ina changamoto sana usipokuwa makini unatapeliwa vizuri sana ukidhani unafaidika.

Huyu mtu ameniletea hati ya kiwanja isiyo yake akiwa anataka mkopo wa Tsh laki 5.

kama si uchunguzi na upelelezi ningeumia vibaya sana.

IMG_20220623_153607_930.jpg
 
Dunia tambara bovu. Muwe makini mnaokopesha kama mimi
.....
huyu jamaa aliweka pikipiki bondi ambazo sio zake (za mkataba, yeye ni boda boda)

binafsi.mimi namdai 428,000
mwenzangu anamdai 1,050,000

kesi iko polisi na kwa mwenyekiti wa mtaa, tumeandikishana malipo mwisho tarehe 8.7.2022

vitu vyake vya ndani viko chini ya ulinzi na vinaelekea kuuzwa vyote

amedhaminiwa na mtu mmoja
IMG_20220608_160121_624.jpg
 
Unakabidhi mtaji wako kwa watu, subiri muda kidogo utajua hujui. Bora ufungue genge ufanye biashara za kawaida. Sikia kukopesha, Mkopaji anaweza akaingia mkatabata wowote unaomnyonya ili mradi tu aipate hiyo ela, akishaipata utasubiri.
Mkuu usidhani hela zinaondoka kirahisi rahisi kwamba tunatapeliwa huku hatujajipanga.

kuna watu ni makonki hapa town kabla hujawaza.kumla kichwa yeye keshakuwahi.
 
Dunia tambara bovu. Muwe makini mnaokopesha kama mimi
.....
huyu jamaa aliweka pikipiki bondi ambazo sio zake (za mkataba, yeye ni boda boda)

binafsi.mimi namdai 428,000
mwenzangu anamdai 1,050,000

kesi iko polisi na kwa mwenyekiti wa mtaa, tumeandikishana malipo mwisho tarehe 8.7.2022

vitu vyake vya ndani viko chini ya ulinzi na vinaelekea kuuzwa vyote

amedhaminiwa na mtu mmoja
View attachment 2272608
Bodaboda ni wasenge wasenge sana
 
Hii biashara watu walitajirika sana enzi ya JK.
Ila kwa sasa hii biashara ukiifanya jiandae na maumivu.
Kwa sasa hali ya watanzania ni ngumu sana hali ya maisha imebadilika.
So ukifanya hii biashara utakuwa unagombana na watu kila siku,mtu haoni shida kuja kukudanganya ili umkopeshe hela ili mradi tu apate pesa ya kujikimu bila kujua hiyo pesa atailipa kwa njia gani.
Kwa hiyo fikiria mara 2 kabla hujaingia mkenge
 
Hii biashara watu walitajirika sana enzi ya JK.
Ila kwa sasa hii biashara ukiifanya jiandae na maumivu.
Kwa sasa hali ya watanzania ni ngumu sana hali ya maisha imebadilika.
So ukifanya hii biashara utakuwa unagombana na watu kila siku,mtu haoni shida kuja kukudanganya ili umkopeshe hela ili mradi tu apate pesa ya kujikimu bila kujua hiyo pesa atailipa kwa njia gani.
Kwa hiyo fikiria mara 2 kabla hujaingia mkenge
Hela haitolewi kama mkojo mkuu.
Hebu fuatilia mtiririko wa T&C utaona kuna mikataba inafanyika
 
Hela haitolewi kama mkojo mkuu.
Hebu fuatilia mtiririko wa T&C utaona kuna mikataba inafanyika
Mkuu mtu mwenye shida huwa hajali hiyo mikataba,yuko tayari kuanguka saini yaani potelea mbali atajua mbele kwa mbele huko sasa usumbufu unabaki kwako mkopeshaji.
 
Mkuu mtu mwenye shida huwa hajali hiyo mikataba,yuko tayari kuanguka saini yaani potelea mbali atajua mbele kwa mbele huko sasa usumbufu unabaki kwako mkopeshaji.
Rejea nyuma kwamba ninashika vitu bondi vyenye thamani mara 2 mpaka 3 ya mkopo.

usumbufu nautoa wapi wakati mkataba ukiisha sioni malipo napiga bei mali ya mdaiwa😅😅😅
 
Habari za asubuhi JF people?

Mimi ni Dalali wa Viwanja Magari Nyumba & Co. Kuna pesa huwa naipata gjafla kutokana na shughuli zangu za u middle Nimeamua kuanza kukopesha.

Watu ninaoanza nao ni waaminifu sana nawafahamu. Kwa kuanza tu nimeamua kuwapa mkopo wa masharti haya:
  • Kwa kila shilingi elfu 10, irejeshe Sh 500 kila siku.
  • Mkopo utakaa siku 14.
Jana nimetoa elfu 40, after two weeks ilete Riba ya Tshs 28,000

Je, nipo sahihi au najiumiza kwa kiwango nilichoweka?

Je, nikipandisha kwa kila elfu 10 izae buku kila siku nitakosea?

Note:
Mteja wangu ni mama ntilie
Ushauri wangu ni bora uji dalalie tu mkuu!
Yaani ununue bidhaa kama ardhi kisha ifanyie udalali Itakulipa sana kuliko kufanya biashara ya mikopo tena na akina mama mtaji utakata mkuu
 
Rejea nyuma kwamba ninashika vitu bondi vyenye thamani mara 2 mpaka 3 ya mkopo.

usumbufu nautoa wapi wakati mkataba ukiisha sioni malipo napiga bei mali ya mdaiwa[emoji28][emoji28][emoji28]
Sawa nimekuelewa.
Ila kuwa makini sometimes unaweza kukabidhiwa vitu vya wizi ukaingizwa mkenge.
 
Dunia tambara bovu. Muwe makini mnaokopesha kama mimi
.....
huyu jamaa aliweka pikipiki bondi ambazo sio zake (za mkataba, yeye ni boda boda)

binafsi.mimi namdai 428,000
mwenzangu anamdai 1,050,000

kesi iko polisi na kwa mwenyekiti wa mtaa, tumeandikishana malipo mwisho tarehe 8.7.2022

vitu vyake vya ndani viko chini ya ulinzi na vinaelekea kuuzwa vyote

amedhaminiwa na mtu mmoja
View attachment 2272608
Kaka biashara inaendaje....?
 
Jifunze sheria na kuwa na porojo nyingi wasije kukuzidi kiswahili
 
Nilifanya hii biashara ya kukopesha kabla ya kuacha kwa sababu za kiimani.

Ni biashara fulani inahitaji roho ngumu na kusimamia pale pale, ina vishawishi haswa kwa wadada.
We tembea kwenye principles zako tu,
Pesa yake tamu inakuja tu,unaweza ukawa unafunga msuli tu, pesa zinakuja kibarazani. ila ukikumbuka kuna mauti, kesho yangu na mambo mengi ya kiimani nikaipiga chini.
Baada ya kuacha unauwakika na PEPO?
Asante
 
Kuna wamama wa vikundi huwa wananifuata sana.

mfano mchana huu huu, kaja mmoja anataka laki aende aka top up achukue mkopo mara 2 huko kwenye kikundi chao.

Aisee nimempa 50,000

utaratibu wake ni kwamba akichukua anarejesha kesho yake Tsh 60,000😃😃😃

hapo ndo mtaniua sasa kwa maneno. Wengine wanakuja kesho kama wawili hivi na mimi nimeishiwa Cash ndani.
Kiongozi piga KAZI kanyaga twende.
Eti pepo!! Wakati zambi zingine wanatenda kama kawaida tu.


Kazi
 
Back
Top Bottom