ONYO: Usije na swaga eti ooh hukumpenda ulipenda fedha zake. Kwa taarifa yako wooote wanaolewa kwa kuangalia potential ya mtu kimaisha hasa hasa pesa.Watanzania ni viumbe wa ajabu sana, watanzania ndio binaadamu pekee ambao huomba msaada halafu anatoa na onyo inayo ambatana na masharti & vigezo kuzingatiwa.
Kutokana na hio onyo yako, sina budi kukwambia pambana na hali yako.
Vp mzee umeachana na siasa uchwara mzee??
Vp mataga wanasemaje kwan???
Ngoja niwaiteee
Matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa matagaaaaaaaa uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii njoooniii huku njoooniii huku uuuuwwiiiiiiii uuuuwwiiiiiiii
Kumekuchaaa kumekuchaaa kumekuchaaa kumekuchaaa
Hata kulala naye kitanda kimoja tu, achilia mbali mambo ya kuchakatana, najisikia kama niko gerezani. Inanibidi nipige ulabu ili nimudu kulala hapo kitandani.
Appetite ya kuwa naye imekata kabisaaa. Nikimcheki alivyopauka, midevu imechachamaa utadhani yule mchezaji wa Simba ambaye huwa akifunga goli anaweka mpira kwenye nyeti zake.
Maneno yake hayana tena mvuto kwangu.
Amefulia kiuchumi. Na nafsi yangu imefulia kwake.
Nifanyeje???.
ONYO: Usije na swaga eti ooh hukumpenda ulipenda fedha zake. Kwa taarifa yako wooote wanaolewa kwa kuangalia potential ya mtu kimaisha hasa hasa pesa.
Ndiyo maana unapowaeleza wazazi/ ndugu/jamaa/marafiki kuwa umepata mchumba, swali lao la kwanza huwa ni "anafanya kazi gani? Ama anajishughulisha na nini? Why this question?
Fanya hivyo hivyo ulivyofanya my wangu..
Njoo uto.mbwe na sisi wenye helaHata kulala naye kitanda kimoja tu, achilia mbali mambo ya kuchakatana, najisikia kama niko gerezani. Inanibidi nipige ulabu ili nimudu kulala hapo kitandani.
Appetite ya kuwa naye imekata kabisaaa. Nikimcheki alivyopauka, midevu imechachamaa utadhani yule mchezaji wa Simba ambaye huwa akifunga goli anaweka mpira kwenye nyeti zake.
Maneno yake hayana tena mvuto kwangu.
Amefulia kiuchumi. Na nafsi yangu imefulia kwake.
Nifanyeje???.
ONYO: Usije na swaga eti ooh hukumpenda ulipenda fedha zake. Kwa taarifa yako wooote wanaolewa kwa kuangalia potential ya mtu kimaisha hasa hasa pesa.
Ndiyo maana unapowaeleza wazazi/ ndugu/jamaa/marafiki kuwa umepata mchumba, swali lao la kwanza huwa ni "anafanya kazi gani? Ama anajishughulisha na nini? Why this question?
Hata kulala naye kitanda kimoja tu, achilia mbali mambo ya kuchakatana, najisikia kama niko gerezani. Inanibidi nipige ulabu ili nimudu kulala hapo kitandani.
Appetite ya kuwa naye imekata kabisaaa. Nikimcheki alivyopauka, midevu imechachamaa utadhani yule mchezaji wa Simba ambaye huwa akifunga goli anaweka mpira kwenye nyeti zake.
Maneno yake hayana tena mvuto kwangu.
Amefulia kiuchumi. Na nafsi yangu imefulia kwake.
Nifanyeje???.
ONYO: Usije na swaga eti ooh hukumpenda ulipenda fedha zake. Kwa taarifa yako wooote wanaolewa kwa kuangalia potential ya mtu kimaisha hasa hasa pesa.
Ndiyo maana unapowaeleza wazazi/ ndugu/jamaa/marafiki kuwa umepata mchumba, swali lao la kwanza huwa ni "anafanya kazi gani? Ama anajishughulisha na nini? Why this question?
Anaomba ushauri halafu anakuelekeza jinsi ya kumshauri. Anakuwa mshauri wa ushauriWatanzania ni viumbe wa ajabu sana, watanzania ndio binaadamu pekee ambao huomba msaada halafu anatoa na onyo inayo ambatana na masharti & vigezo kuzingatiwa.
Kutokana na hio onyo yako, sina budi kukwambia pambana na hali yako.
Unavyomuona huyu jike dume alivyo mpuuzi ni sawa na sisi tukuonavyo!Watanzania ni viumbe wa ajabu sana, watanzania ndio binaadamu pekee ambao huomba msaada halafu anatoa na onyo inayo ambatana na masharti & vigezo kuzingatiwa.
Kutokana na hio onyo yako, sina budi kukwambia pambana na hali yako.
Hilo swali la "anafanya Kazi gani" una uhakika wote wanaulizwa au ni Tamaa ya ukoo wenuHata kulala naye kitanda kimoja tu, achilia mbali mambo ya kuchakatana, najisikia kama niko gerezani. Inanibidi nipige ulabu ili nimudu kulala hapo kitandani.
Appetite ya kuwa naye imekata kabisaaa. Nikimcheki alivyopauka, midevu imechachamaa utadhani yule mchezaji wa Simba ambaye huwa akifunga goli anaweka mpira kwenye nyeti zake.
Maneno yake hayana tena mvuto kwangu.
Amefulia kiuchumi. Na nafsi yangu imefulia kwake.
Nifanyeje???.
ONYO: Usije na swaga eti ooh hukumpenda ulipenda fedha zake. Kwa taarifa yako wooote wanaolewa kwa kuangalia potential ya mtu kimaisha hasa hasa pesa.
Ndiyo maana unapowaeleza wazazi/ ndugu/jamaa/marafiki kuwa umepata mchumba, swali lao la kwanza huwa ni "anafanya kazi gani? Ama anajishughulisha na nini? Why this question?
Ok basi anza process ya kuvunja hiyo ndoaHata kulala naye kitanda kimoja tu, achilia mbali mambo ya kuchakatana, najisikia kama niko gerezani. Inanibidi nipige ulabu ili nimudu kulala hapo kitandani.
Appetite ya kuwa naye imekata kabisaaa. Nikimcheki alivyopauka, midevu imechachamaa utadhani yule mchezaji wa Simba ambaye huwa akifunga goli anaweka mpira kwenye nyeti zake.
Maneno yake hayana tena mvuto kwangu.
Amefulia kiuchumi. Na nafsi yangu imefulia kwake.
Nifanyeje???.
ONYO: Usije na swaga eti ooh hukumpenda ulipenda fedha zake. Kwa taarifa yako wooote wanaolewa kwa kuangalia potential ya mtu kimaisha hasa hasa pesa.
Ndiyo maana unapowaeleza wazazi/ ndugu/jamaa/marafiki kuwa umepata mchumba, swali lao la kwanza huwa ni "anafanya kazi gani? Ama anajishughulisha na nini? Why this question?