Nimeanza kulewa kwasababu nimemchoka mume wangu tangu alipofilisika

Watanzania ni viumbe wa ajabu sana, watanzania ndio binaadamu pekee ambao huomba msaada halafu anatoa na onyo inayo ambatana na masharti & vigezo kuzingatiwa.

Kutokana na hio onyo yako, sina budi kukwambia pambana na hali yako.
ONYO: Usije na swaga eti ooh hukumpenda ulipenda fedha zake. Kwa taarifa yako wooote wanaolewa kwa kuangalia potential ya mtu kimaisha hasa hasa pesa.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji1540][emoji1540][emoji1540][emoji1540]
 
 
 
Njoo uto.mbwe na sisi wenye hela
 
Mara tu umeshakuwa KE hutaki kulala na mume wako, wiki ijayo utakuwa ME unayependa sana kumgegeda rafiki wa mkeo! Sijui una matatizo yepi hadi uwe na tabia hii ya kushangaza sana.
 
Watanzania ni viumbe wa ajabu sana, watanzania ndio binaadamu pekee ambao huomba msaada halafu anatoa na onyo inayo ambatana na masharti & vigezo kuzingatiwa.

Kutokana na hio onyo yako, sina budi kukwambia pambana na hali yako.
Anaomba ushauri halafu anakuelekeza jinsi ya kumshauri. Anakuwa mshauri wa ushauri
 
Watanzania ni viumbe wa ajabu sana, watanzania ndio binaadamu pekee ambao huomba msaada halafu anatoa na onyo inayo ambatana na masharti & vigezo kuzingatiwa.

Kutokana na hio onyo yako, sina budi kukwambia pambana na hali yako.
Unavyomuona huyu jike dume alivyo mpuuzi ni sawa na sisi tukuonavyo!
 
Hilo swali la "anafanya Kazi gani" una uhakika wote wanaulizwa au ni Tamaa ya ukoo wenu
Kingine hujui nini maana ya kuwa mke wewe Uliolewa tu ionekane upo kwenye ndoa
 
Ok basi anza process ya kuvunja hiyo ndoa
 
[emoji16][emoji16]Ina maana siku mmeo akipata ukwasi utatuletea kweli mrejesho wa kumpenda.
 
wewe huna shughuli ya kumkwamua mwenzio hapo.....?????pesa za kulewa watoa wapi???
 
Angalizo msimlazimishe huyu @Sexless kua mwanaume unaweza kukuta kweli ni mwanaume lakini ana mume ambaye anaichakata tunu yake ya taifa msimuhukumu
 
Unajificha nyuma ya keyboard lakini unaonyesha ni single mothers umekuja kupima upepo"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…