Nimeanza kulewa kwasababu nimemchoka mume wangu tangu alipofilisika

Nimeanza kulewa kwasababu nimemchoka mume wangu tangu alipofilisika

Chanzo cha Tatizo kimoja wapo ni wewe.. Tambaa zako ajipange na Mungu Baba amuangazie...
Malayakwanza kukuona shida!
 

Hata kulala naye kitanda kimoja tu, achilia mbali mambo ya kuchakatana, najisikia kama niko gerezani. Inanibidi nipige ulabu ili nimudu kulala hapo kitandani.

Appetite ya kuwa naye imekata kabisaaa. Nikimcheki alivyopauka, midevu imechachamaa utadhani yule mchezaji wa Simba ambaye huwa akifunga goli anaweka mpira kwenye nyeti zake.

Maneno yake hayana tena mvuto kwangu.

Amefulia kiuchumi. Na nafsi yangu imefulia kwake.

Nifanyeje?

ONYO: Usije na swaga eti ooh hukumpenda ulipenda fedha zake. Kwa taarifa yako wooote wanaolewa kwa kuangalia potential ya mtu kimaisha hasa hasa pesa.

Ndiyo maana unapowaeleza wazazi/ ndugu/jamaa/marafiki kuwa umepata mchumba, swali lao la kwanza huwa ni "anafanya kazi gani? Ama anajishughulisha na nini? Why this question?
 

Attachments

  • VID-20210328-WA0022.mp4
    11.2 MB
Mbona mtoa mada kama dume maana huu uandishi namashaka nao.
 

Hata kulala naye kitanda kimoja tu, achilia mbali mambo ya kuchakatana, najisikia kama niko gerezani. Inanibidi nipige ulabu ili nimudu kulala hapo kitandani.

Appetite ya kuwa naye imekata kabisaaa. Nikimcheki alivyopauka, midevu imechachamaa utadhani yule mchezaji wa Simba ambaye huwa akifunga goli anaweka mpira kwenye nyeti zake.

Maneno yake hayana tena mvuto kwangu.

Amefulia kiuchumi. Na nafsi yangu imefulia kwake.

Nifanyeje?

ONYO: Usije na swaga eti ooh hukumpenda ulipenda fedha zake. Kwa taarifa yako wooote wanaolewa kwa kuangalia potential ya mtu kimaisha hasa hasa pesa.

Ndiyo maana unapowaeleza wazazi/ ndugu/jamaa/marafiki kuwa umepata mchumba, swali lao la kwanza huwa ni "anafanya kazi gani? Ama anajishughulisha na nini? Why this question?
Kwasababu wanaulizia kama jamaa ataweza kukulisha
 
Wewe Leo utajisikiaje ukaparalize akakuonea kinyaa akuache?au ukapata ugonjwa hata wa ukichaa akakuacha? Mimi kwa malezi niliyokulia ningeneutralize tu ndiyo maisha Leo mnacho kesho hamna keshokutwa kinarudi... Mungu alinibariki wazazi wanaopendana wana up na down zao kwl,.usione wanaofanya jubilee miaka 25,50 ukadhani hawakuyapitia hayo...pesa sio kila kitu sasa endelea kumtesa na karma ilivyo isije ikakurudia Hiyo ndio moment atakuchagua kuwa Wewe ni mwanamke wa maisha yake,..na atakuchukia akigundua unamchukia sababu hana pesa hivi kwnn hawawambii ukwl wa ndoa hiyo ndio ndoa siyo zile tamthilia za lamujer de mivida..ndoa ni mtihani kama mitihani mingine..
 
Wewe Leo utajisikiaje ukaparalize akakuonea kinyaa akuache?au ukapata ugonjwa hata wa ukichaa akakuacha? Mimi kwa malezi niliyokulia ningeneutralize tu ndiyo maisha Leo mnacho kesho hamna keshokutwa kinarudi... Mungu alinibariki wazazi wanaopendana wana up na down zao kwl,.usione wanaofanya jubilee miaka 25,50 ukadhani hawakuyapitia hayo...pesa sio kila kitu sasa endelea kumtesa na karma ilivyo isije ikakurudia Hiyo ndio moment atakuchagua kuwa Wewe ni mwanamke wa maisha yake,..na atakuchukia akigundua unamchukia sababu hana pesa hivi kwnn hawawambii ukwl wa ndoa hiyo ndio ndoa siyo zile tamthilia za lamujer de mivida..ndoa ni mtihani kama mitihani mingine..
Argument yako imekaa poa. But for me life is too short to withstand any pain.
 
Mnalishauri dume la mbegu halafu nilibavicha hili [emoji23][emoji23]
 

Hata kulala naye kitanda kimoja tu, achilia mbali mambo ya kuchakatana, najisikia kama niko gerezani. Inanibidi nipige ulabu ili nimudu kulala hapo kitandani.

Appetite ya kuwa naye imekata kabisaaa. Nikimcheki alivyopauka, midevu imechachamaa utadhani yule mchezaji wa Simba ambaye huwa akifunga goli anaweka mpira kwenye nyeti zake.

Maneno yake hayana tena mvuto kwangu.

Amefulia kiuchumi. Na nafsi yangu imefulia kwake.

Nifanyeje?

ONYO: Usije na swaga eti ooh hukumpenda ulipenda fedha zake. Kwa taarifa yako wooote wanaolewa kwa kuangalia potential ya mtu kimaisha hasa hasa pesa.

Ndiyo maana unapowaeleza wazazi/ ndugu/jamaa/marafiki kuwa umepata mchumba, swali lao la kwanza huwa ni "anafanya kazi gani? Ama anajishughulisha na nini? Why this question?
Ez36q6WXoAEsprC.jpeg
Unatuomba ushauri halafu unatufokea
 
Kajipange kwenye foleni ya wanunuliwaji uchakatwe
 
 
Back
Top Bottom