[emoji1787][emoji1787]Mkuu kwani Mume wako anasemaje?
Kwa nini unahuzunisha moyo wako na kuhatarisha maisha yako kwa Kunywa pombe na unajua ulichofuata ni pesa na zimeisha? Wanaume sio ving'ang'anizi, unajipotezea muda na bahati zako bure, jipe wiki moja kuhamisha kilicho chako, Na muage akae kwa Amani unaenda kuanzisha maisha yako sehemu nyingine. Usijifunge kama mtumwa kuwa muwazi na mkweli wa nafsi yako.Hata kulala naye kitanda kimoja tu, achilia mbali mambo ya kuchakatana, najisikia kama niko gerezani. Inanibidi nipige ulabu ili nimudu kulala hapo kitandani.
Appetite ya kuwa naye imekata kabisaaa. Nikimcheki alivyopauka, midevu imechachamaa utadhani yule mchezaji wa Simba ambaye huwa akifunga goli anaweka mpira kwenye nyeti zake.
Maneno yake hayana tena mvuto kwangu.
Amefulia kiuchumi. Na nafsi yangu imefulia kwake.
Nifanyeje?
ONYO: Usije na swaga eti ooh hukumpenda ulipenda fedha zake. Kwa taarifa yako wooote wanaolewa kwa kuangalia potential ya mtu kimaisha hasa hasa pesa.
Ndiyo maana unapowaeleza wazazi/ ndugu/jamaa/marafiki kuwa umepata mchumba, swali lao la kwanza huwa ni "anafanya kazi gani? Ama anajishughulisha na nini? Why this question?
Asije akamletea kifo Mume Kama aliyeuliwa na polisi na kibao kumgeukia Kuwa amekaidi amri halali . anayweshwa pombe na nani kama Mme amechalala!!??Kwa nini unahuzunisha moyo wako na kuhatarisha maisha yako kwa Kunywa pombe na unajua ulichofuata ni pesa na zimeisha? Wanaume sio ving'ang'anizi, unajipotezea muda na bahati zako bure, jipe wiki moja kuhamisha kilicho chako, Na muage akae kwa Amani unaenda kuanzisha maisha yako sehemu nyingine. Usijifunge kama mtumwa kuwa muwazi na mkweli wa nafsi yako.
Mmalize kabla mali hazijaisha ili upate cha kuanzia maisha wakati unamtafuta mume mwengine mwenye pesa... Ukimchelewesha atakufia hana hata mia... Hapo unaonaje
Hata kulala naye kitanda kimoja tu, achilia mbali mambo ya kuchakatana, najisikia kama niko gerezani. Inanibidi nipige ulabu ili nimudu kulala hapo kitandani.
Appetite ya kuwa naye imekata kabisaaa. Nikimcheki alivyopauka, midevu imechachamaa utadhani yule mchezaji wa Simba ambaye huwa akifunga goli anaweka mpira kwenye nyeti zake.
Maneno yake hayana tena mvuto kwangu.
Amefulia kiuchumi. Na nafsi yangu imefulia kwake.
Nifanyeje?
ONYO: Usije na swaga eti ooh hukumpenda ulipenda fedha zake. Kwa taarifa yako wooote wanaolewa kwa kuangalia potential ya mtu kimaisha hasa hasa pesa.
Ndiyo maana unapowaeleza wazazi/ ndugu/jamaa/marafiki kuwa umepata mchumba, swali lao la kwanza huwa ni "anafanya kazi gani? Ama anajishughulisha na nini? Why this question?
Labd anasadifu usernameKuna thread ana Mke
Na kuna thread ana mume
wanauliza ana kazi gani au anajishughulisha na nin kwani wana hitaji mtu mwenye uwezo wakuimudu familia yake ila changamoto kubwa siku hizi hzta kazi tulizonazo haziwatoshelezi vipi tutaweza mudu familia kwa ujumla wake na maranyingi mambo hayo huwakumba wanawake waliotegemezi na mara chache wale wenye kipto kikubwa kuliko waume zao ndi huwa wanapoteza mzuka na wenzi wao pale anapokuwa ametetereka kidogoHata kulala naye kitanda kimoja tu, achilia mbali mambo ya kuchakatana, najisikia kama niko gerezani. Inanibidi nipige ulabu ili nimudu kulala hapo kitandani.
Appetite ya kuwa naye imekata kabisaaa. Nikimcheki alivyopauka, midevu imechachamaa utadhani yule mchezaji wa Simba ambaye huwa akifunga goli anaweka mpira kwenye nyeti zake.
Maneno yake hayana tena mvuto kwangu.
Amefulia kiuchumi. Na nafsi yangu imefulia kwake.
Nifanyeje?
ONYO: Usije na swaga eti ooh hukumpenda ulipenda fedha zake. Kwa taarifa yako wooote wanaolewa kwa kuangalia potential ya mtu kimaisha hasa hasa pesa.
Ndiyo maana unapowaeleza wazazi/ ndugu/jamaa/marafiki kuwa umepata mchumba, swali lao la kwanza huwa ni "anafanya kazi gani? Ama anajishughulisha na nini? Why this question?
Hata kulala naye kitanda kimoja tu, achilia mbali mambo ya kuchakatana, najisikia kama niko gerezani. Inanibidi nipige ulabu ili nimudu kulala hapo kitandani.
Appetite ya kuwa naye imekata kabisaaa. Nikimcheki alivyopauka, midevu imechachamaa utadhani yule mchezaji wa Simba ambaye huwa akifunga goli anaweka mpira kwenye nyeti zake.
Maneno yake hayana tena mvuto kwangu.
Amefulia kiuchumi. Na nafsi yangu imefulia kwake.
Nifanyeje?
ONYO: Usije na swaga eti ooh hukumpenda ulipenda fedha zake. Kwa taarifa yako wooote wanaolewa kwa kuangalia potential ya mtu kimaisha hasa hasa pesa.
Ndiyo maana unapowaeleza wazazi/ ndugu/jamaa/marafiki kuwa umepata mchumba, swali lao la kwanza huwa ni "anafanya kazi gani? Ama anajishughulisha na nini? Why this question?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Confirmed.... Sexless ni wakiume
Wtakuambia achana naye huyo atakusumbuaNa ukiwaeleza wazazi mchumba wangu anauza dagaa, hapo vipi!!!!! Huruhusiwi kuowa?
Amaaaah [emoji28][emoji28][emoji28]Mmalize kabla mali hazijaisha ili upate cha kuanzia maisha wakati unamtafuta mume mwengine mwenye pesa... Ukimchelewesha atakufia hana hata mia... Hapo unaonaje
Wtakuambia achana naye huyo atakusumbua