Sasa utafanyajenitakua chizi kulipwa 300k mpaka nazeeka
hapo ndo maajabu ya mwanaume huwa yanaonekana, mshahara laki tatu lakini matumizi kwa mwezi million.Sasa utafanyaje
[emoji23][emoji23][emoji23]siwezi kujinyima kisa nisave for tomorrow!, ntafanya matumizi yangu yote kwanza, kama kutakua na surplus ndio nitasave, kama hakuna surplus, saving cant be my priority.
[emoji23][emoji23]siwezi kujinyima kisa nisave for tomorrow!, ntafanya matumizi yangu yote kwanza, kama kutakua na surplus ndio nitasave, kama hakuna surplus, saving cant be my priority.
Nashukuru kwa ushauri wako muruaTuliza akili,
Ongeza bidii kazini,
Jifunze kuboresha kazi uliyopewa,
Punguza ujuwaji
Ishi na uliowakuta vizuri
Usipapatikie starehe Wala vilivyo juu ya uwezo wako,
Save 60%ya mshahara wako kila mwezi,
Baada ya miaka 2 utakuwa umeshazoea mazingira na kufikiria kipi ufanye kwa FAIDA ya kesho
NB
Kujiajiri ni lazima,
Hakuna tajiri muajiriwa
Bali matajiri hutokea kwenye hustle za kila siku
kwani unaishi porini na kula mawe30K saving kilamwezi sio saving ni kupoteza muda yaani ni sawa na 300K kwa mwaka mzima nonsense
Mshahara wa 200K Mimi niliweza save hio 300K kwa miezi miwili tu
Pamoja.Nashukuru kwa ushauri wako murua