Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh kumbe? Nilikuwa sijui asee.Hahhaahah mwenyewe manzi ujue
Kwa hiyo umeamua kunianika huku sio?Kuna binti nimeanza kumpenda najitahidi nisimpende tatizo hisia zishalalanae mbele, kwa yule wa kwanza tulieachana alinichezesha muvi la kihindi huyu sasa sijui itakuwaje.
Sina mengi ila tuombeane tu mambo yaende safi maana mpaka hivi sasa naona nina degree ya kuumizwa moyo wangu nao unazidi kupenda kama jana na zaidi ya leo.😥
Sifa zake ni:
- Kapole ila kazururaji
- Hakanywi bia ila kanaonja
- Mwembamba maji ya kunde na mwisho kanapenda kuvaa Madera.
Tuombeane tu tuvuke salama.😥
JinasueDah! Sasa ndo nimenasa
Dawa yako ni kuita majini yangu tu!🙄🙄
Samehe honie twende chumbani tuyamalize..
Seen🙄🙄
Samehe honie twende chumbani tuyamalize..
Unapigwa matukio sanaMnatafuta nini imetosha jamani..😅
Kwanini Mkuu?? Kuna uhusiano gani kati ya kuvaa dera na undege John?.Anapenda kuvaa dera [emoji1787][emoji1787] huyo ni kidege joniii Tu[emoji1787]
Umejibu vizuri sana best kali ya mwaka hasa wakwanza kanamdomo sana anadakiaga nyuzi za watu sana kananiboaga .🙄
😲
Mkuu Kuna jukwaa la jamii intelligence na stories of changes mada serious zipo kule.
Moyo wangu ni propera hauna mapumziko aisee..😅