Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We jamaa unaonaga sifa kuanzisha nyuzi za kiduanzi kama manzi yani dah.
Jambazi mzoefu!
Dera maana yake ana shundu bana.Pambana boy ila madem wa wavaa vijora na madera huwa wambea.kila kitu mkifnya jua atatasema tuu..na ukimwambia hii ni iwe siri yetu ndio km vile unamzimua aweke laudispika
Na sio bikra!Kuna binti nimeanza kumpenda najitahidi nisimpende tatizo hisia zishalalanae mbele, kwa yule wa kwanza tulieachana alinichezesha muvi la kihindi huyu sasa sijui itakuwaje.
Sina mengi ila tuombeane tu mambo yaende safi maana mpaka hivi sasa naona nina degree ya kuumizwa moyo wangu nao unazidi kupenda kama jana na zaidi ya leo.😥
Sifa zake ni:
- Kapole ila kazururaji
- Hakanywi bia ila kanaonja
- Mwembamba maji ya kunde na mwisho kanapenda kuvaa Madera.
Tuombeane tu tuvuke salama.😥
Binti yangu.Hahah nani niliyemuibia...
Binti yangu.
[emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297][emoji2297]Huyo yupo mikono salama kabisa...cheo chake ni spesho
😂😂😂😂Na sio bikra!
Unawivuuuuuuuuu..
😂😂Fire fire fireeee baba uwa baba piga baba