Reality of heaven
Senior Member
- Nov 2, 2022
- 108
- 353
Mwanzo nilikuwa simuelewi elewi huyu mama, lakini mpaka sasa nimemkubali ni zaidi ya kiongozi!
Haya ni mambo ambayo yanathibitisha kuwa uongozi ni hekima Wala sio mihemuko
1: Ni mpenda haki/ anapenda haki
2: Ni msema kweli na muwazi
3: Sio mtu wa kuchukulia Jambo kwa haraka (sio mtu wa kufanyia kazi umbea)
4: Watu wote kwake ni sawa haijalishi upo chama gani (hapa ametuheshimisha kimataifa)
5: Nchi imetulia maana ilikuwa inayumba kipindi kile Cha giza
6: Sio mtu wa kupenda misifa ya kijinga
7: Kupitia teuzi hizi za wakuu wa wilaya nimemuelewa
Haya ni mambo ambayo yanathibitisha kuwa uongozi ni hekima Wala sio mihemuko
1: Ni mpenda haki/ anapenda haki
2: Ni msema kweli na muwazi
3: Sio mtu wa kuchukulia Jambo kwa haraka (sio mtu wa kufanyia kazi umbea)
4: Watu wote kwake ni sawa haijalishi upo chama gani (hapa ametuheshimisha kimataifa)
5: Nchi imetulia maana ilikuwa inayumba kipindi kile Cha giza
6: Sio mtu wa kupenda misifa ya kijinga
7: Kupitia teuzi hizi za wakuu wa wilaya nimemuelewa