Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
Naona kwa mbaali nimeanza kupata wapinzani ambao hupoteza mda wao kuja kusoma nyuzi zangu huku wakijaa upepo (povu). Nasema nitashukuru sana wakiongezeka maana mtaniongezea angalau ufaham kidogo.
Mlimuandama shemej yangu Cha mdedo kwa I'd tofauti tofauti naona na mimi kuna dalili hiyo, njooni tu nawasubiri na upuuzi wenu. Ukiona thread ya mtu huipendi pitia nyingine usome zipo nyingi.
Ni mstaraabu sana ila ukinikwaza hapa hapatatosha kama ninavyochafua uwanja wa fb.
Vidudu mtu njooni shuwain zenu.
Mlimuandama shemej yangu Cha mdedo kwa I'd tofauti tofauti naona na mimi kuna dalili hiyo, njooni tu nawasubiri na upuuzi wenu. Ukiona thread ya mtu huipendi pitia nyingine usome zipo nyingi.
Ni mstaraabu sana ila ukinikwaza hapa hapatatosha kama ninavyochafua uwanja wa fb.
Vidudu mtu njooni shuwain zenu.