Nimeanza kupoteza nguvu ya Macho

Nimeanza kupoteza nguvu ya Macho

Labda simu ndo iwe imeniharibia uwezo wangu wa macho, maana kusema ukweli sasa ivi nasoma kupitia ipad na mara nyingi nipo kwenye hii simu.
Hongera mkuu naona hujaingia JF muda mrefu hadi leo!
Unaishije au unakaa porini hakuna net.

Sent using Jamii Forums mobile app
Muda mdogo mambo mengi.... Jihadhari sana na matumizi ya ziada ya simu na hiyo iPad mwanga wake una mionzi yenye madhara kwa macho

Jr[emoji769]
 
Nilikuwa na uwezo kujibu swali lako kwasababu nimekaa darasani miaka 10 kusoma jicho ila kwa bahati mbaya huhitaji majibu ya hospitali ok all the best katika safari yako ya kufunga na kusafisha macho na mkojo[emoji23]
Yeye anataka jibu la tatizo, alichokataa ni kwenda hospital kupima!

Kama ulikuwa na jibu kwa nini usimjibu tu? Maana bado ungekuwa ndani ya vigezo vyake!

Imenisikitisha tu, miaka 10 umekaa darasani, halafu unakuja na ngonjera kwa mgonjwa ambaye ungeweza kuonesha umahiri wako kwake

Kama kweli wewe ni msomi basi tuna msiba mkubwa kwenye elimu yetu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa na uwezo kujibu swali lako kwasababu nimekaa darasani miaka 10 kusoma jicho ila kwa bahati mbaya huhitaji majibu ya hospitali ok all the best katika safari yako ya kufunga na kusafisha macho na mkojo[emoji23]
Hapana sio sahihi unaweza kujibu kwa manufaa ya wengine lakini pia huwezi jua kapotoshwa kiasi gani kuhusu hospital hivyo jibu lako lingeweza kumuelimisha pakubwa na pengine kubadili mtazamo wake

Jr[emoji769]
 
Unatumia vinywaji vikali?
Unafanya kazi eneo lenye vumbi na kemikali? Au mwanga mkali?
Unatumia maji kiasi gani? Ulaji wako wa mboga za majani ukoje?
Between I strongly advise ukapime hospital.. Pia ucheki na pressure kwakuwa kuna pressure ya macho

Jr[emoji769]
Ushauri mzuri
 
Hapana sio sahihi unaweza kujibu kwa manufaa ya wengine lakini pia huwezi jua kapotoshwa kiasi gani kuhusu hospital hivyo jibu lako lingeweza kumuelimisha pakubwa na pengine kubadili mtazamo wake

Jr[emoji769]
Shida ya mleta mada inaitwa Presbyopia kwa kitaalamu, ni kwamba binadamu tuna lensi ndani ya jicho ambayo kazi yake ni kufocus image ya kitu katika umbali tofauti sasa jinsi umri unavyokwenda lensi hupoteza uwezo wake kwasababu inakakamaa na hvyo mtu hushindwa kufocus image za karibu hasa fine details kama maandishi na Mara nyingi tatizo huanza at 40's ,the only way anaweza saidika ni kwenda hospital akapime macho na atapewa way foward ya matibabu ni nini.
 
Wakuu wangu, wenye ku experience tatizo kama langu naomba msaada.
Hivi karibuni, around miezi kadhaa imepita, uwezo wangu wa macho umeanza kupotea, kiasi cha kupata tabu kuingiza vocha usiku hadi niwashe mwanga mkali, muda sio mrefu ndani ya mwaka nilikuwa nina uwezo mkubwa tu naingiza vocha au kusoma maandishi madogo, lakini sasa hivi ni shida.
Nimeanza kupata shida hii baada ya kuanza kazi ngumu, nimepunguza sana kutembea na vyombo vya moto kama pikipiki, natembea kwa mguu, tangu nimeanza haya mazoezi ndo naanza kuona hili tatizo, nina miaka 43 kama kuna mtu alisha kuwa na tatizo hili naomba ushauri.
Sipendi mtu aje hapa afu aniambie nenda hospitali ukapime, hospitali nataka iwe last resort.
Nataka njia natural ya kuondoa hili tatizo.
Ahsante
MziziMkavu
Kaveli
Mshana Jr.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kunywa juisi ya ubuyu

Source[emoji117] [emoji117] [emoji117] Afya leo: Ubuyu na faida zake - JamiiForums


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu wangu, wenye ku experience tatizo kama langu naomba msaada.
Hivi karibuni, around miezi kadhaa imepita, uwezo wangu wa macho umeanza kupotea, kiasi cha kupata tabu kuingiza vocha usiku hadi niwashe mwanga mkali, muda sio mrefu ndani ya mwaka nilikuwa nina uwezo mkubwa tu naingiza vocha au kusoma maandishi madogo, lakini sasa hivi ni shida.
Nimeanza kupata shida hii baada ya kuanza kazi ngumu, nimepunguza sana kutembea na vyombo vya moto kama pikipiki, natembea kwa mguu, tangu nimeanza haya mazoezi ndo naanza kuona hili tatizo, nina miaka 43 kama kuna mtu alisha kuwa na tatizo hili naomba ushauri.
Sipendi mtu aje hapa afu aniambie nenda hospitali ukapime, hospitali nataka iwe last resort.
Nataka njia natural ya kuondoa hili tatizo.
Ahsante
MziziMkavu
Kaveli
Mshana Jr.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu gani hutaki kwenda hospitali ? Una Zaidi ya miaka 40 matatizo mengi huwa yanaanza siyo macho tuu, ni lazima uanze utaratibu wa kucheki your Blood Pressure mara kwa mara, Blood sugar, Ufanyaji kazi wa figo zako, uwezo wa kuona nk . Katika umri wako hayo hayaepukiki , hata hivyo jitahidi uwe unakula walao karoti moja yenye gram kama 200 hivi kila siku, na viazi vitamu ama tumia vitamin A suppliments
 
Mkuu kwanza pole sana kwa hilo tatizo. Pili nipende kukushuhudia kua mm pia ninatatizo kama hilo lilianza taratibu nikachukulia Poa ila Kadri siku zilivyoenda niliona mabadiliko hasa nikiendesha gari.

Niliamua kwenda hospitali nikaambiwa nimepoteza 0.5 ya uwezo wa kuona na nikapewa miwani nikaambiwa niitumie tu kwa miezi Sita then nitakua sawa.

Zoezi la dozi ya miwani likaanza toka november 2017. November 2018 nikarudi tena hospital nikamuambia doctor vip mbona sioni kama kuna kupona? Alichonijibu ndo nilimaind mbaya sana.

Doctor Ananiambia kungekua na dawa watu matajiri kama wabunge na maraisi wangekua wakwanza kupona. Hivyo miwani ndo silaha pekee ya kupambana na hali hiyo[emoji12]

Hivyo mm hua navaa miwani nikidrive tu au kukiwa na jua kali otherwise hua naiacha hasa nikiwa home tu.
 
Ndugu zanguni naomba Kama Kuna mtu ana mawasiliano ya Aghakan mwanza ama Kuna mtu anahusika maeneo Yale nashida kidogo
 
Back
Top Bottom