Muda mdogo mambo mengi.... Jihadhari sana na matumizi ya ziada ya simu na hiyo iPad mwanga wake una mionzi yenye madhara kwa machoLabda simu ndo iwe imeniharibia uwezo wangu wa macho, maana kusema ukweli sasa ivi nasoma kupitia ipad na mara nyingi nipo kwenye hii simu.
Hongera mkuu naona hujaingia JF muda mrefu hadi leo!
Unaishije au unakaa porini hakuna net.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye anataka jibu la tatizo, alichokataa ni kwenda hospital kupima!Nilikuwa na uwezo kujibu swali lako kwasababu nimekaa darasani miaka 10 kusoma jicho ila kwa bahati mbaya huhitaji majibu ya hospitali ok all the best katika safari yako ya kufunga na kusafisha macho na mkojo[emoji23]
Hapana sio sahihi unaweza kujibu kwa manufaa ya wengine lakini pia huwezi jua kapotoshwa kiasi gani kuhusu hospital hivyo jibu lako lingeweza kumuelimisha pakubwa na pengine kubadili mtazamo wakeNilikuwa na uwezo kujibu swali lako kwasababu nimekaa darasani miaka 10 kusoma jicho ila kwa bahati mbaya huhitaji majibu ya hospitali ok all the best katika safari yako ya kufunga na kusafisha macho na mkojo[emoji23]
Ushauri mzuriUnatumia vinywaji vikali?
Unafanya kazi eneo lenye vumbi na kemikali? Au mwanga mkali?
Unatumia maji kiasi gani? Ulaji wako wa mboga za majani ukoje?
Between I strongly advise ukapime hospital.. Pia ucheki na pressure kwakuwa kuna pressure ya macho
Jr[emoji769]
Shida ya mleta mada inaitwa Presbyopia kwa kitaalamu, ni kwamba binadamu tuna lensi ndani ya jicho ambayo kazi yake ni kufocus image ya kitu katika umbali tofauti sasa jinsi umri unavyokwenda lensi hupoteza uwezo wake kwasababu inakakamaa na hvyo mtu hushindwa kufocus image za karibu hasa fine details kama maandishi na Mara nyingi tatizo huanza at 40's ,the only way anaweza saidika ni kwenda hospital akapime macho na atapewa way foward ya matibabu ni nini.Hapana sio sahihi unaweza kujibu kwa manufaa ya wengine lakini pia huwezi jua kapotoshwa kiasi gani kuhusu hospital hivyo jibu lako lingeweza kumuelimisha pakubwa na pengine kubadili mtazamo wake
Jr[emoji769]
Kunywa juisi ya ubuyuWakuu wangu, wenye ku experience tatizo kama langu naomba msaada.
Hivi karibuni, around miezi kadhaa imepita, uwezo wangu wa macho umeanza kupotea, kiasi cha kupata tabu kuingiza vocha usiku hadi niwashe mwanga mkali, muda sio mrefu ndani ya mwaka nilikuwa nina uwezo mkubwa tu naingiza vocha au kusoma maandishi madogo, lakini sasa hivi ni shida.
Nimeanza kupata shida hii baada ya kuanza kazi ngumu, nimepunguza sana kutembea na vyombo vya moto kama pikipiki, natembea kwa mguu, tangu nimeanza haya mazoezi ndo naanza kuona hili tatizo, nina miaka 43 kama kuna mtu alisha kuwa na tatizo hili naomba ushauri.
Sipendi mtu aje hapa afu aniambie nenda hospitali ukapime, hospitali nataka iwe last resort.
Nataka njia natural ya kuondoa hili tatizo.
Ahsante
MziziMkavu
Kaveli
Mshana Jr.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sababu gani hutaki kwenda hospitali ? Una Zaidi ya miaka 40 matatizo mengi huwa yanaanza siyo macho tuu, ni lazima uanze utaratibu wa kucheki your Blood Pressure mara kwa mara, Blood sugar, Ufanyaji kazi wa figo zako, uwezo wa kuona nk . Katika umri wako hayo hayaepukiki , hata hivyo jitahidi uwe unakula walao karoti moja yenye gram kama 200 hivi kila siku, na viazi vitamu ama tumia vitamin A supplimentsWakuu wangu, wenye ku experience tatizo kama langu naomba msaada.
Hivi karibuni, around miezi kadhaa imepita, uwezo wangu wa macho umeanza kupotea, kiasi cha kupata tabu kuingiza vocha usiku hadi niwashe mwanga mkali, muda sio mrefu ndani ya mwaka nilikuwa nina uwezo mkubwa tu naingiza vocha au kusoma maandishi madogo, lakini sasa hivi ni shida.
Nimeanza kupata shida hii baada ya kuanza kazi ngumu, nimepunguza sana kutembea na vyombo vya moto kama pikipiki, natembea kwa mguu, tangu nimeanza haya mazoezi ndo naanza kuona hili tatizo, nina miaka 43 kama kuna mtu alisha kuwa na tatizo hili naomba ushauri.
Sipendi mtu aje hapa afu aniambie nenda hospitali ukapime, hospitali nataka iwe last resort.
Nataka njia natural ya kuondoa hili tatizo.
Ahsante
MziziMkavu
Kaveli
Mshana Jr.
Sent using Jamii Forums mobile app