Habari wakuu
Katika kujipima kutumia bioline nimejikuta nimejichoma sindano niliyokuwa nimemchoma mtu mwenye HIV
Sasa nilikuwa mbali kidogo na eneo la kituo cha afya kwahiyo kesho yake ikanibidi niende kituo cha afya mida ya saa nane nikawaelezea wakanipa dawa ya pep imeandikwa LTD m nikaambiwa nianze kunywa usiku ambapo nilikunywa saa nne usiku ikiwa masaa 38 yametimia tangu kujichoma.
Je, kwa masaa hayo yaliyopita hadi nilipoanza kumeza dawa nitakuwa salama kuzuia virusi maana nilikuwa ndani ya saa 72?
Katika kujipima kutumia bioline nimejikuta nimejichoma sindano niliyokuwa nimemchoma mtu mwenye HIV
Sasa nilikuwa mbali kidogo na eneo la kituo cha afya kwahiyo kesho yake ikanibidi niende kituo cha afya mida ya saa nane nikawaelezea wakanipa dawa ya pep imeandikwa LTD m nikaambiwa nianze kunywa usiku ambapo nilikunywa saa nne usiku ikiwa masaa 38 yametimia tangu kujichoma.
Je, kwa masaa hayo yaliyopita hadi nilipoanza kumeza dawa nitakuwa salama kuzuia virusi maana nilikuwa ndani ya saa 72?