Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Yes kabla yakupewa pep nilipimwa nikawa negative
Baada ya kumaliza utapima tena, halafu utapima tena (watakuelekeza muda wa kupima mara ya tatu)...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes kabla yakupewa pep nilipimwa nikawa negative
Hamna Kufanya NGONO.. Yaan umetoka kuharibu huko, uko kwa matazamio, alafu unataka uendeleze ngono??Nimeoa nna mke swala la tendo la ndoa hapo linakuaje
Kwaiyo Mara zote izo kusubuiria unakua haushiriki tendo au nihuu mwezi mmoja tu baada ya hapo ukipima ukiwa negative unaendelea kufanya tendo la ndoaBaada ya kumaliza utapima tena, halafu utapima tena (watakuelekeza muda wa kupima mara ya tatu)...
Natakiwa kukaa mda gani bila kufanyaHamna Kufanya NGONO.. Yaan umetoka kuharibu huko, uko kwa matazamio, alafu unataka uendeleze ngono??
Mkuu saiv Wala hazina maudhi yoyote ni Kama za kawaida izo ndoto na kuona maluweluwe ni zamani sio kwa sasa,Ondoa Hofu, uko poa...visa vya ivo vipo vingi huku mahosp .
Siku nyingine ujikamue kwanza hiyo sehem ulojichoma damu ikutoke, kisha nawa kwa maji tiririka.
Kwasasa Meza PEP Sawa sawa na ushauri ulopewa na umwombe Mungu.
Nakutia nguvu, wakati tupo Internship, Rafiki wangu mwanaaa ,amewah jichoma Mara Tano , kwahiyo amekunywa PEP Mara tano, saizi yuko poaaa.
Siku moja Ma Nurse wanazalisha, yule mama alipata mchaniko mdogo mahali ikalazimika ashonwe, Nurse mmoja wakat anashona akajichoma, wazo la kumpima upya Mzazi likaja, walivyopima wakamkuta Positive..... Nurse akaanza PEP.....yuko poaa mpaka Leo.
Hizo Dawa maudhi yake sasa, utafurahi na roho... Zinamaaudhi balaaa, usishangae kuchoka Sana, kula Sana,Tumbo kuuma,kuharisha, kuota unapaaa, kua kama unaona maluweluwe, Mara unahisi unaitwa, miguuu kufa ganzi, kuwaka moto n.k
KULA MISOSI, YAAN ULE FOOD MARA KWA MARA ,FOOD INASAWAZISHA MAUDHI YA DAWA.
USIACHE PEP, USIISHIE NJIANI, MALIZA DOZI YAKO.
LTD ndio ARVs wanazokunywa wenye maambukizi tayari.Mkuu hiyo dawa imeandikwa LTD m ndio yenyewe au
Wewe suala lako kwakua Exposure yako ni ya MTU ambaye Kathibitika ana maambukiziNatakiwa kukaa mda gani bila kufanya
Naam Mkuu wangu, Mapokezi ya hizo dawa toka kwa MTU mmoja hadi mwingine ni tofauti kabisa.Mkuu saiv Wala hazina maudhi yoyote ni Kama za kawaida izo ndoto na kuona maluweluwe ni zamani sio kwa sasa,
Kwaiyo Mara zote izo kusubuiria unakua haushiriki tendo au nihuu mwezi mmoja tu baada ya hapo ukipima ukiwa negative unaendelea kufanya tendo la ndoa
[emoji38][emoji38][emoji38]nimecheka hapo kuota unapaa, mara unaitwa duh mbona balaa sasaOndoa Hofu, uko poa...visa vya ivo vipo vingi huku mahosp .
Siku nyingine ujikamue kwanza hiyo sehem ulojichoma damu ikutoke, kisha nawa kwa maji tiririka.
Kwasasa Meza PEP Sawa sawa na ushauri ulopewa na umwombe Mungu.
Nakutia nguvu, wakati tupo Internship, Rafiki wangu mwanaaa ,amewah jichoma Mara Tano , kwahiyo amekunywa PEP Mara tano, saizi yuko poaaa.
Siku moja Ma Nurse wanazalisha, yule mama alipata mchaniko mdogo mahali ikalazimika ashonwe, Nurse mmoja wakat anashona akajichoma, wazo la kumpima upya Mzazi likaja, walivyopima wakamkuta Positive..... Nurse akaanza PEP.....yuko poaa mpaka Leo.
Hizo Dawa maudhi yake sasa, utafurahi na roho... Zinamaaudhi balaaa, usishangae kuchoka Sana, kula Sana,Tumbo kuuma,kuharisha, kuota unapaaa, kua kama unaona maluweluwe, Mara unahisi unaitwa, miguuu kufa ganzi, kuwaka moto n.k
KULA MISOSI, YAAN ULE FOOD MARA KWA MARA ,FOOD INASAWAZISHA MAUDHI YA DAWA.
USIACHE PEP, USIISHIE NJIANI, MALIZA DOZI YAKO.
Mbona minaota ndoto za ajabu ajabu Kama Jana usiku nimemeza nkaenda lala usiku nastuka naskia barid la hatarMkuu saiv Wala hazina maudhi yoyote ni Kama za kawaida izo ndoto na kuona maluweluwe ni zamani sio kwa sasa,
Kwaiyo ndio pep Sasa hiyo auLTD ndio ARVs wanazokunywa wenye maambukizi tayari.
Lamivudine, Tenofovir ,Dolutegravir (LTD).
Ndyo yenyewe mkuuKwaiyo ndio pep Sasa hiyo au
Itakua katika process za kumchoma nae akajichoma kwa bahati mbayaYaani ukachukua sindano uliyotumia kumchoma mteja mwathirika alafu ukaitumia kujichoma wewe.Wenzetu mkitumia sindano mnatunza hakuna kutupa?
Usicheke ,sio mazuri... Achana na ngono zembe , tumia KONDOMU.[emoji38][emoji38][emoji38]nimecheka hapo kuota unapaa, mara unaitwa duh mbona balaa sasa
Mkuu dawa nimoja.Kwaiyo ndio pep Sasa hiyo au
Hata mimi nimewaza hivyo maana hajaweka wazi ilikuwaje akajichomaItakua katika process za kumchoma nae akajichoma kwa bahati mbaya
Ndo hivo nilijichoma kwa bahati mbayaHata mimi nimewaza hivyo maana hajaweka wazi ilikuwaje akajichoma