Ondoa Hofu, uko poa...visa vya ivo vipo vingi huku mahosp .
Siku nyingine ujikamue kwanza hiyo sehem ulojichoma damu ikutoke, kisha nawa kwa maji tiririka.
Kwasasa Meza PEP Sawa sawa na ushauri ulopewa na umwombe Mungu.
Nakutia nguvu, wakati tupo Internship, Rafiki wangu mwanaaa ,amewah jichoma Mara Tano , kwahiyo amekunywa PEP Mara tano, saizi yuko poaaa.
Siku moja Ma Nurse wanazalisha, yule mama alipata mchaniko mdogo mahali ikalazimika ashonwe, Nurse mmoja wakat anashona akajichoma, wazo la kumpima upya Mzazi likaja, walivyopima wakamkuta Positive..... Nurse akaanza PEP.....yuko poaa mpaka Leo.
ALAFU UNAKUTA MTANZANIA MMOJA, KANYWA UJI, ANAKAA KUSHAMBULIA WATUMISHI WA AFYA.... [emoji23][emoji23]
Hizo Dawa maudhi yake sasa, utafurahi na roho... Zinamaaudhi balaaa, usishangae kuchoka Sana, kula Sana,Tumbo kuuma,kuharisha, kuota unapaaa, kua kama unaona maluweluwe, Mara unahisi unaitwa, miguuu kufa ganzi, kuwaka moto n.k
KULA MISOSI, YAAN ULE FOOD MARA KWA MARA ,FOOD INASAWAZISHA MAUDHI YA DAWA.
USIACHE PEP, USIISHIE NJIANI, MALIZA DOZI YAKO.