Nimeanza kuwa na tabia za ajabu

You have a serious Problem...wahi hospitali
 
Katibumuhtasi bila shaka ana bosi wake,

Je, bosi wako anachukuliaje hii hali yako kwa sasa?
 
Last edited by a moderator:
mimi siyo mtaalamu sana, ila hizi ni dalili kabisa za kichaaa, wahi hospital. Japo naona kama unaleta utani maana ulivyowasilisha tatizo lako unaonekana unajua unachokifanya na huna tatizo ulosema, ningejua katika uandishi.
sileti mzaha jeki nipo serious
 
Utakuwaunahitaji dudu tu wewe!
 
Matatizo matatu yanayosumbua mwanamke.
1. Kukosa uhusiano wa kimapenzi wa kudumu
2. Kukosa wa kumsugua
3. Kukosa mme

Hilo huleta msongo wa mawazo, stress, ukali usio na sababu na kama hayo.

Wanamme matatizo yao makuu matatu ni tofauti ya wanawake.
 
Matatizo matatu yanayosumbua mwanamke.
1. Kukosa uhusiano wa kimapenzi wa kudumu
2. Kukosa wa kumsugua
3. Kukosa mme

Hilo huleta msongo wa mawazo, stress, ukali usio na sababu na kama hayo.

Wanamme matatizo yao makuu matatu ni tofauti ya wanawake.

mhhh......
 
U need spiritual help and psychological help


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ndugu hiyo si hali ya kawaida. Ebu wahi kwa wataalamu wa afya.
 
Tatizo lako ni moja tuu.

Umezoea kujichua mwenyewe, ndio maana unapenda kuwa mtupu chumbani, na it seems unapenda sana kuangalia picha za utupu.

Ukijichuwa sana, lazima upate tatizo la kusahau sahau kwa mujibu wa maelezo ya wanasayansi.

Tafuta bwana ukae nae, umri huo sio wa kukaa peke yako.
Ndio maana huwa nawashangaa sana wadada wasemao kuwa hawapendi kuolewa, eti wanatafuta mtoto afu waishi peke yao

Binadamu sio kisiki cha mti, naye anasikia ile hamu. Sasa ukikaa peke yako atakuridhisha nani kama sio hiyo kujichuwa inayokuharibu? ni nani atakaye kuondolea stress zako?

tafuta bwana wewe, hiyo ndio tiba, nyingine utazunguka tuu ila ukweli ndio huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…