Nimeanza mwaka kwa kuacha punyeto

Nimeanza mwaka kwa kuacha punyeto

Nataka mwaka huu niache rasmi kupiga punyeto.



Jana nilianza kuacha leo nimepiga cha mwisho mwisho labla sijaingia darasani akyamungu hii ndo punyeto yangu ya mwisho sipigi tenaaaaa.

Nilianza punyeto tangu nikiwa na miaka 12 mpaka leo miaka 26 ndo nimehitimisha

Bye bye punyeto umenitesa sana ,umeniharibia sana maisha,nimekuwa mtu wa kupenda kulala lala na kughairi mambo kisa tu nipate muda mwingi wa kupiga nyeto.

Nimechelewa kuingia darasani vipindi vya asubuhi na kuchelewa hata kwenye mitihani kwa ajili tu ya kupiga nyeto.

Kulalaleki sipendagi mazoea na vitu vya kijinga jinga ngoja niachane nayo mazima

Mkuu we unasema tu, nyeto bana ukifikisha miaka kama mitano tu kupiga basi si rahisi kuacha, tangu nianze kupiga hadi sasa nimekifisha miaka 18 ya upigaji na kila siku huwa nasema nitaacha lakini wapi. Naomba msaada wako wa dawa uliyotumia kuacha mdogo wangu ili na mimi niweze kuacha.
 
Mkuu we unasema tu, nyeto bana ukifikisha miaka kama mitano tu kupiga basi si rahisi kuacha, tangu nianze kupiga hadi sasa nimekifisha miaka 18 ya upigaji na kila siku huwa nasema nitaacha lakini wapi. Naomba msaada wako wa dawa uliyotumia kuacha mdogo wangu ili na mimi niweze kuacha.
Maamuzi tu.

Nimefikisha masaa 7 tangu niache sasa
 
Maamuzi tu.

Nimefikisha masaa 7 tangu niache sasa

Wewe hesabia, lakini pepo la nyeto linaharibu Saikolojia ya mpigaji kiasi kwamba, baada ya kusema umeacha itakujia tu kuwaza "Labda kile nilichokipiga hakikuwa kitam ngoja nipige kingine cha mwisho huenda kikawa kitam zaidi" Hapo unakuwa ukikishika kicha cha mkuyenge tu umekwisha, lazima ukapige. Nimewamaliza Pornstar wote wa Xvideos.com lakini bado imekuwa ngumu kuacha. Tuombeane.
 
Kama kweli huwa unaingia bafuni na unaoga kwa sabuni bs nikuhakikishie tu....huji kuacha ndugu....na hyo smartphone ndo kabisaaaaa....
 
Yani punyeto kama arosto ya madawa auachi utajitaidi sana ukiacha ni mamuzi magumu ukiweza kuacha nyeto ata sigara pombe utaweza kuacha bila kutumia dawa yoyote nilikuwa napiga nikienda kula dem naona siyo mtamu kama punyeto nilikuwa napiga nikitaka kukitupa naacha kidogo nilikuwa napata raha mara 100000000 na demu alafu hapo situmia ata pesa nikiwa na demu matumizi kidogo ni 40
 
Hii kitu niliacha kwa shida sana!! Nlikua mtumwa kwa miaka 14 wa puli,sasa iv nina mwaka na miez sijastua
 
Nataka mwaka huu niache rasmi kupiga punyeto.



Jana nilianza kuacha leo nimepiga cha mwisho mwisho labla sijaingia darasani akyamungu hii ndo punyeto yangu ya mwisho sipigi tenaaaaa.

Nilianza punyeto tangu nikiwa na miaka 12 mpaka leo miaka 26 ndo nimehitimisha.

Bye bye punyeto umenitesa sana ,umeniharibia sana maisha,nimekuwa mtu wa kupenda kulala lala na kughairi mambo kisa tu nipate muda mwingi wa kupiga nyeto.

Nimechelewa kuingia darasani vipindi vya asubuhi na kuchelewa hata kwenye mitihani kwa ajili tu ya kupiga nyeto.

Kulalaleki sipendagi mazoea na vitu vya kijinga jinga ngoja niachane nayo mazima
Pole mkuu kwa kufingiwa ile ID yako ya kutukania ile ya HR 666..*****[emoji23] [emoji23]
 
Mimi nlisema nimeachaa...leoo nkaona dalili hizooo aisee..!! Pepooo shindwaaa...
 
Duniani Kuna addictions 3 ambazo Ni ngumu kuacha na madhara Yake hayaelezeki

1.Ngada/ sigara

2.Pombe

3.Mamnyeto

Hio nambari 3 ndo mbaya kuliko zote,ukianza hyo jua tu Ni ngumu sana kuacha.
 
Back
Top Bottom