Siajabu saiv anawaza akapige kingine ili na aseme cha mwisho
Sent from my TECNO-H3 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO-H3 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka mwaka huu niache rasmi kupiga punyeto.
Jana nilianza kuacha leo nimepiga cha mwisho mwisho labla sijaingia darasani akyamungu hii ndo punyeto yangu ya mwisho sipigi tenaaaaa.
Nilianza punyeto tangu nikiwa na miaka 12 mpaka leo miaka 26 ndo nimehitimisha
Bye bye punyeto umenitesa sana ,umeniharibia sana maisha,nimekuwa mtu wa kupenda kulala lala na kughairi mambo kisa tu nipate muda mwingi wa kupiga nyeto.
Nimechelewa kuingia darasani vipindi vya asubuhi na kuchelewa hata kwenye mitihani kwa ajili tu ya kupiga nyeto.
Kulalaleki sipendagi mazoea na vitu vya kijinga jinga ngoja niachane nayo mazima
Pepo la puli baya sana![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] yaani hapo ndio unaanza kabisa na sio kuacha
Maamuzi tu.Mkuu we unasema tu, nyeto bana ukifikisha miaka kama mitano tu kupiga basi si rahisi kuacha, tangu nianze kupiga hadi sasa nimekifisha miaka 18 ya upigaji na kila siku huwa nasema nitaacha lakini wapi. Naomba msaada wako wa dawa uliyotumia kuacha mdogo wangu ili na mimi niweze kuacha.
Maamuzi tu.
Nimefikisha masaa 7 tangu niache sasa
Pole mkuu kwa kufingiwa ile ID yako ya kutukania ile ya HR 666..*****[emoji23] [emoji23]Nataka mwaka huu niache rasmi kupiga punyeto.
Jana nilianza kuacha leo nimepiga cha mwisho mwisho labla sijaingia darasani akyamungu hii ndo punyeto yangu ya mwisho sipigi tenaaaaa.
Nilianza punyeto tangu nikiwa na miaka 12 mpaka leo miaka 26 ndo nimehitimisha.
Bye bye punyeto umenitesa sana ,umeniharibia sana maisha,nimekuwa mtu wa kupenda kulala lala na kughairi mambo kisa tu nipate muda mwingi wa kupiga nyeto.
Nimechelewa kuingia darasani vipindi vya asubuhi na kuchelewa hata kwenye mitihani kwa ajili tu ya kupiga nyeto.
Kulalaleki sipendagi mazoea na vitu vya kijinga jinga ngoja niachane nayo mazima
Tumuulize ameacha kweli au anazinguaNext two week's ntakuuliza