Inategemea na intensity. Ukiruka kamba kwa intensity kubwa na anaekimbia at a slow pace obvious wa kamba atapoteza more weight.Kati ya kuruka kamba na jogging zoezi lipi linaongeza pumzi na kupunguza weight?
We call it "procrastination" ...Kila siku napeleka mbele ratiba ya mazoezi.
Kukimbia ndio zoezi mama!! Kama ni weight komaa na kukimbia then rekebisha ulaji wako unaweza ongezea na unywaji wa maji ya vuguvugu kila asubuhi!!Kati ya kuruka kamba na jogging zoezi lipi linaongeza pumzi na kupunguza weight?
[emoji16]mkuu na comment hii reply yako japo ya longtime, kama nakuona vile unapopiga push up, halafu unabakia palepale chini, ukitaka kuinuka mikono inatetemkaHongera mkuu mimi nimeshindwa hasa push up
mkuu zoezi sustaiable yanahitaji commitment, na mikakati pia. ukijiona hauwezi kuwa commited labda umeanza fresh then inafika mwezi wa nne unaanza kuacha ujue unatakiwa u-change tactics, ikiwezekana jiunge gym tena ulipie kabisa, utajikuta unhudhuria ili pesa isipotee bure lkn pia unapata company na usimamizi ikibidiHata mi napigiaga chumbani tu, nashangaa wanaohangaika na Gym
Nina marafiki wengi wamelipia gym ila ni kama kituo cha polisi. Uzuri wa mazoezi yakikubali siku usipofanya unahisi kuna kitu kimepungua.mkuu zoezi sustaiable yanahitaji commitment, na mikakati pia. ukijiona hauwezi kuwa commited labda umeanza fresh then inafika mwezi wa nne unaanza kuacha ujue unatakiwa u-change tactics, ikiwezekana jiunge gym tena ulipie kabisa, utajikuta unhudhuria ili pesa isipotee bure lkn pia unapata company na usimamizi ikibidi
Uko vizuri mkuuYesterday's run, 8Km! It was fantastic!!
View attachment 717896
Mie nasubiri ramadhan iishe, nirudi kwenye jalambaWale wenzangu wa mazoezi mpo? Baada ya mvua kuvuruga ratiba sasa hivi hali ya hewa imetulia, mwendo mdundo.....
Mie hii wiki imepita aisee bila mazoezi japokuwa nilianza vizuri japo kwa kuruka kamba na ile ya kuchuchumaa na kuinuka, of course wiki iliyopita nilifanya "manual work" ambayo ilihusisha kupanda na kushuka mlima flani mara kwa mara (of course ilikuwa ni sehemu ya kazi ila kwangu ilikuwa kama zoezi maana shughuli yake ilikuwa pevu)Mie nasubiri ramadhan iishe, nirudi kwenye jalamba
Jitahidi urudi kwenye mazoezi. Ukikaa sana kurudi ni ngumu.Mie hii wiki imepita aisee bila mazoezi japokuwa nilianza vizuri japo kwa kuruka kamba na ile ya kuchuchumaa na kuinuka, of course wiki iliyopita nilifanya "manual work" ambayo ilihusisha kupanda na kushuka mlima flani mara kwa mara (of course ilikuwa ni sehemu ya kazi ila kwangu ilikuwa kama zoezi maana shughuli yake ilikuwa pevu)
Nilisimama kutokana na kazi moja ngumu ya kupanda mlima na kushuka mara kwa mara ambayo kwangu ilikuwa ni bonge ya zoezi ila naanza keshokutwa japokuwa napiga push-up za kivivu 15, kuruka kama na squatting exercise mara 20 napumzika sekunde 30 narudia mara 5 (mdogo mdogo tu nitajiongoza)Jitahidi urudi kwenye mazoezi. Ukikaa sana kurudi ni ngumu.
Sasa hivi najitahidi nijog siku tano kwa wiki,push up 300 siku mbili zilizobakiMazoezi ni dawa ya magonjwa na kinga ya magonjwa pia,mimi nafanya jogging 4 times a week 15 rounds of football pitch each visit and usually it takes 45 minutes per visit plus 50 pushups as well
Mimi nimeanza mazoezi kwenye Ramadhan hii, nimekata weight faster.Mie nasubiri ramadhan iishe, nirudi kwenye jalamba
Mie nairuka kijoti ramadan halaf ikiisha nianze tena.Mimi nimeanza mazoezi kwenye Ramadhan hii, nimekata weight faster.