Si jambo rahisi. Mimi last week nimejitahidi kutokula usiku ila ijumaa mpaka jumapili nimekula sana na kunywa sana. Leo nimeanza tena ila weekend tutasameheana na huu mwilimimi nimekwama kila mahali yaaani kilo mia naiona hii hapa sasa
Kupungua nataka ila vitu vizuri navitaja pia.Basi hujaamua kupungua.
[emoji3][emoji3][emoji3]. Basi nitajitahidi weekend nako niachane na kula kula. Kwa hii kasi nikifanya hivi two weeks haki ntapungua.You cant eat your cake and have it.
Nitashukuru.Nitakusaidia, tuanze weekend hii.
Natamani sana kumaliza hata half marathon moja kabla sijafa. Unaweza kunipa maandalizi ya half marathon?Big up yourself!
Mazoezi muhimu sana.
Huwa nashangaa kwanini watu wanapata uvivu kufanya mazoezi.
Mazoezi inatakiwa iwe lifestyle. Yani unakuwa addicted vile
Binafsi nakimbia 21kms (that's half Marathon) every Saturday.
Pia nimewahi shiriki Ngorongoro Marathon. And yes I finished the 42kms....my body size is small but I'm tough as nail.
Nimeona hapo huendi gym. Ni vizuri pia.
Binafsi I don't lift weight. Mwili wangu unanitosha.
Nikiwa home jioni (most of weekdays)nafanya sana cardio workout. Torso circles, squat + push, ventral jacks na mazoezi mengine ya viungo.
Pia nafanya kick boxing workout.
Pumzi yangu ipo juu sana sometimes nadhani sichoki. Labda kwasababu nimeanza kipindi kirefu.
Hongera mkuu Rrondo. Nimeandika yote hayo labda inaweza ikawa inspiration kwa baadhi ya watu. Mazoezi muhimu sana.
Kwa ladies wa JF kama mnataka glowing skin basi mazoezi ndiyo jibu.
Hicho hicho kidogo za kama kweli unataka kupungua.
Achana na wali....its not good for YOUR health.View attachment 687622Nina njaa balaa sili tena mpaka kesho kutwa aah Leo mwisho
Siwezi hataAchana na wali....its not good for YOUR health.
Masaa manne mfululizo duuh ngoja nikafukunyue kamba yangu[emoji125] [emoji125]Kuruka kamba na kucheza mziki kwa masaa 4 hadi 5 mfululizo bila kupumzika ndo zoezi kubwa ambalo huwa nalifanya bila kujifikiria mara mbili.
Hongera mazoezi ni mazuri kwa afya, ukijipenda huwezi kujiacha uangamie.