Nimeanza Mwaka kwa Mazoezi

Nimeanza Mwaka kwa Mazoezi

Kuruka kamba na kucheza mziki kwa masaa 4 hadi 5 mfululizo bila kupumzika ndo zoezi kubwa ambalo huwa nalifanya bila kujifikiria mara mbili.

Hongera mazoezi ni mazuri kwa afya, ukijipenda huwezi kujiacha uangamie.
Ukitaka uwe kimbaumbau ruka kamba namna hio.
 
hahaaaa ili kujiandaa na baa la njaa linaloelekea kuikumba kutokana na vyuma kutokuwa na dalili za kulegea
Kama sifanyi mazoezi naweza kula mara moja kwa siku, matokeo yake huwa na-lose weight.
 
Wewe sema kwamba mtu au wewe kuna uwezekano wa kufanya mazoezi bila kwenda gym ikiwa una pesa au muda wa kuudhuria lakini usijaribu kuandika upuuzi kuusu mazoezi ya kunyanyua chuma au kuusu gym, gym ni special place ambayo inahusisha mazoezi aina yote atayapata gym halafu katika mazoezi kunyanyua chuma (free weight) ndio mazoezi latest kabisa sasa usiringanishe free weight na vitu vya kijingajinga
 
Ukitaka uwe kimbaumbau ruka kamba namna hio.

Hahah looh hata hutu tutako tunaponisaidia nisiumie nikikaa tutakauka. Yaani niruke kamba kwa masaa 4 mfululizo. Ntainuka aiseeh nikiwa kimbaumbau, hapanaa mie naruka kidogo tuu nikiona nimelowa jasho naacha. Ila mziki aaah ntacheza hata masaa 5.

Asante kwa kuweka amsha amsha ya mazoezi.
 
Wewe sema kwamba mtu au wewe kuna uwezekano wa kufanya mazoezi bila kwenda gym ikiwa una pesa au mda wa kuudhuria lakini usijaribu kuandika upuuzi kuusu mazoezi ya kunyanyua chuma au kuusu gym, gym ni special place ambayo inahisisha mazoezi aina yote atayapata gym arafu katika mazoezi kunyanyua chuma (free weight)ndio mazoezi latest kabisa sasa usiringanishe free weight na vitu vya kijingajinga
Jifunze kuandika kwanza, halafu jifunze kusoma, halafu jifunze kuelewa kilichoandikwa,halafu jifunze kuelewa kilicho nyuma ya kilichoandika ukimaliza rudi hapa tuendeleze mjadala.
 
Hahah looh hata hutu tutako tunaponisaidia nisiumie nikikaa tutakauka. Yaani niruke kamba kwa masaa 4 mfululizo. Ntainuka aiseeh nikiwa kimbaumbau, hapanaa mie naruka kidogo tuu nikiona nimelowa jasho naacha. Ila mziki aaah ntacheza hata masaa 5.

Asante kwa kuweka amsha amsha ya mazoezi.
Watu wanashangaa tu huyu dada mbona yuko fit au anahudhuria Gym....
 
Jifunze kuandika kwanza, halafu jifunze kusoma, halafu jifunze kuelewa kilichoandikwa,halafu jifunze kuelewa kilicho nyuma ya kilichoandika ukimaliza rudi hapa tuendeleze mjadala.
Nijifunze ili iweje kuandika kwako kunyanyua michuma inaonesha kwamba unaponda aina hiyo ya mazoezi au umeandikaje apo
 
Nijifunze ili iweje kuandika kwako kunyanyua michuma inaonesha kwamba unaponda aina hiyo ya mazoezi au umeandikaje apo
Siwajibiki na tafsiri yako kwa nilichoandika. Sina control na ubongo wako.
 
Ni bora ukanunua baiskeli na mashine ya Kukimbia ukaiweka chumbani kwa raha zako zipo game Mlimani city
 
Back
Top Bottom