Nimeanza mwaka nikiwa single

new gal

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2021
Posts
1,593
Reaction score
2,988
Nimeanza mwaka nikiwa single.

Niliamua kuachana nae rasmi usiku wa mwaka mpya baada ya kuvumilia mwaka mzima. Jamani upweke nyie ni noma😞😞. Mbaya zaidi sijakaa vizuri nikaibiwa simu, natumia kitochi siwezi peruse mtandaoni tena zaidi ninapokua kazini.Upweke unazidi kuongezeka!

Sihitaji mahusiano tena kwa sasa ni kama nmegive up fulani kwenye huo ulimwengu. Wenzangu mnafanyaje kuepuka upweke? Ubaya nakaa peke yangu pia. Nikirud nyumbani nakereka sana natamani kushinda kazini tu yani. Kiswaswadu nakiweka chumbani mana hata hakiiti. Wallahi nanyooka



πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Njoo nikununulie simu my
 
Pata mirinda au pepsi baridi. just jocking. tafuta vitabu vizuri usome. kama huna soma vya dini. upweke ni mzuri. unakupa nafasi ya kutafakari maisha na kuweka mipango sahihi. na vile upo single akili itatulia sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…