AminaMuda huponya
Huwezi kuendelea kujisikia ivo ivo baada ya huu mwaka kuisha[emoji41]
Njoo nikununulie simu myNimeanza mwaka nikiwa single. Niliamua kuachana nae rasmi usiku wa mwaka mpya baada ya kuvumilia mwaka mzima. Jamani upweke nyie ni nomaππ. Mbaya zaidi sijakaa vizuri nikaibiwa simu, natumia kitochi siwezi peruse mtandaoni tena zaidi ninapokua kazini.Upweke unazidi kuongezeka!
Sihitaji mahusiano tena kwa sasa ni kama nmegive up fulani kwenye huo ulimwengu. Wenzangu mnafanyaje kuepuka upweke? Ubaya nakaa peke yangu pia. Nikirud nyumbani nakereka sana natamani kushinda kazini tu yani. Kiswaswadu nakiweka chumbani mana hata hakiiti. Wallahi nanyookaππππ
Sema kwelinjoo nikununulie simu my
Ndio, simu inanifariji sanaUkipata simu upweke utaisha?
Unamaanisha nini ndugu yangu?Kwani matango yameisha huko sokoni jamani?
Ur welcomeAmina
Usiniambie na wewe yamekukutaWewe mhanga mwenzangu njoo tuyajenge tupeane faraja
Hakuna wanaume wanaokutongoza? Mitongozo yao tuu itakuondolea uoweke bila ya wewe kuwapa mbususuunamaanisha nini ndugu yangu?
Watanionea wapi niktoka kazini straight nyumbani, sitoki hadi kesho yakeHakuna wanaume wanaokutongoza? Mitongozo yao tuu itakuondolea uoweke bila ya wewe kuwapa mbususu
Ah basi kumbe upweke ni wakujitakia huowatanionea wapi niktoka kazini straight nyumbani, sitoki hadi kesho yake
Sasa unatoka kwenda wapi jamani, mwenyewe tu siweziAh basi kumbe upweke ni wakujitakia huo
Huna gelofrends wako au workmates wenzio ata kutoka nao ni shida? mwanamke lazima uwe unatongozwa tongozwa bwana au huna chura?Sasa unatoka kwenda wapi jamani, mwenyewe tu siwezi