- Thread starter
- #21
Nilikua nmesahau majibu yako, ss nmejuahuna gelofrends wako au workmates wenzio ata kutoka nao ni shida? mwanamke lazima uwe unatongozwa tongozwa bwana au huna chura?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilikua nmesahau majibu yako, ss nmejuahuna gelofrends wako au workmates wenzio ata kutoka nao ni shida? mwanamke lazima uwe unatongozwa tongozwa bwana au huna chura?
Siwezi abadani sijaona mtu akifa kisa upwiru[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] For the mean time atumie matango sio
Unataka badae atuone tunavibamiaKwani matango yameisha huko sokoni jamani?
Kwakiutl matango yameisha huko sokoni jamani?
Njoo Pm kila ukiwa bored ...siwezi abadani sijaona mtu akifa kisa upwiru
Tena sio kidogo, nilisalitiwa nikaishiwa pozi ya kuwa na mpenzi. Nikaamua kukaa tu. Tukiungana tutapendana sn na pengine kuoana kabisausiniambie na wewe yamekukuta
Nipo hapaNjoo tukupe kampani
Ah mi napumzika we kama unataka kuingia sasa hivi hayajakunyoosha vizuriTena sio kidogo,nilisalitiwa nikaishiwa pozi ya kuwa na mpenzi.Nikaamua kukaa tu.Tukiungana tutapendana sn na pengine kuoana kabisa
Sad truthWelcome to the club ✌️
View attachment 2089164
Hahahaha eti tuna vibamia...au wapi sasa mtu mpweke basi ajipe raha mwenyeUnataka badae atuone tunavibamia
Ana maushauri mabovu for futureUnataka badae atuone tunavibamia
Sasa nijioe kisa mpweke jamani, mbona mapema sana kunyanyapaliwahahahaha eti tuna vibamia...au wapi sasa mtu mpweke basi ajipe raha mwenye
1.Shinda kazini, Chelewa kurudi nyumbaniNimeanza mwaka nikiwa single.
Niliamua kuachana nae rasmi usiku wa mwaka mpya baada ya kuvumilia mwaka mzima. Jamani upweke nyie ni noma[emoji20][emoji20]. Mbaya zaidi sijakaa vizuri nikaibiwa simu, natumia kitochi siwezi peruse mtandaoni tena zaidi ninapokua kazini.Upweke unazidi kuongezeka!
Sihitaji mahusiano tena kwa sasa ni kama nmegive up fulani kwenye huo ulimwengu. Wenzangu mnafanyaje kuepuka upweke? Ubaya nakaa peke yangu pia. Nikirud nyumbani nakereka sana natamani kushinda kazini tu yani. Kiswaswadu nakiweka chumbani mana hata hakiiti. Wallahi nanyooka[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Nina dawa ya kuondoa hilo tatizo la upweke ndani ya muda mfupi. Karibu upate huduma kwa masharti nafuu.Nimeanza mwaka nikiwa single.
Niliamua kuachana nae rasmi usiku wa mwaka mpya baada ya kuvumilia mwaka mzima. Jamani upweke nyie ni noma😞😞. Mbaya zaidi sijakaa vizuri nikaibiwa simu, natumia kitochi siwezi peruse mtandaoni tena zaidi ninapokua kazini.Upweke unazidi kuongezeka!
Sihitaji mahusiano tena kwa sasa ni kama nmegive up fulani kwenye huo ulimwengu. Wenzangu mnafanyaje kuepuka upweke? Ubaya nakaa peke yangu pia. Nikirud nyumbani nakereka sana natamani kushinda kazini tu yani. Kiswaswadu nakiweka chumbani mana hata hakiiti. Wallahi nanyooka🙌🙌🙌🙌
Sasa kama hutaki kujioa sii bora uwatunuku basi vidume mbusus hiyo wakutoe upweke. yaani kwanza zile raha za mitongozo tuu mwenye utaleta mresho hapa kuwa upweke hamna tena. ukiongeza na mgegedo wenye ndio kabisaaasasa nijioe kisa mpweke jamani, mbona mapema sana kunyanyapaliwa
Nimeanza mwaka nikiwa single.
Niliamua kuachana nae rasmi usiku wa mwaka mpya baada ya kuvumilia mwaka mzima. Jamani upweke nyie ni noma[emoji20][emoji20]. Mbaya zaidi sijakaa vizuri nikaibiwa simu, natumia kitochi siwezi peruse mtandaoni tena zaidi ninapokua kazini.Upweke unazidi kuongezeka!
Sihitaji mahusiano tena kwa sasa ni kama nmegive up fulani kwenye huo ulimwengu. Wenzangu mnafanyaje kuepuka upweke? Ubaya nakaa peke yangu pia. Nikirud nyumbani nakereka sana natamani kushinda kazini tu yani. Kiswaswadu nakiweka chumbani mana hata hakiiti. Wallahi nanyooka[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]