Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Kwa hiyo unatafuta mpenzi atakayekupa simu? Lipia katangazo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni shida Mungu atatupiganiaDuh! Pole sana. Mi mwenyewe yamenikuta nina kama mwezi na wiki kadhaa niko singo.
Kueleza ukweli wangu especially sehem anonymous kama hii inanipa faraja, dont take everything negativeKwa hiyo unatafuta mpenzi atakayekupa simu? Lipia katangazo.
Hivi wewe unaweza mnunulia simu mtu usiyemfahamu? sema sehem kama hii lazima nikutane na watu wenye mawazo haya. Labda tu umeruka sehem inayosema nafanya kazi. nimeuliza wat to do kuepuka upweke. Simu ni suala la muda ntaipata so kuwa na amaniSometimes, we should learn to understand what isn't being narrated.
Hamjamuelewa tu mtoaa mada ninyi Wakulungwa?
Mwenzenu anahitaji simu. Anaamini simu ndiyo pekee inayoweza kukuondolea upweke.
Kiufupi, na bila unafki 'kuna mtu atapigwa hapa'.
Good luck!.
ofisini ni best place kujisikia active aisee, natamani nngepata night shifts yani sema ndo sio nature ya kaziNipo hapa,pia ni mpweke mwenzako! Hua natamani kushinda tu ofisini,maana nyumbani ni stress hadi natamani kulia
Kama jumapili iliyopita nmeangalia movie 10 sijaamini aiseeYes! Ofisini interaction na watu ni kubwa sana,unajikuta unasahai,lakini ukifika tu nyumbani,mambo yanaanza upya! Utaangali movie hadi ukome,ukilala unaota mandoto ya ajabu ajabu tu,nyie nyie, stress za mapenzi zisikieni tu
Naamini hvyo, najaribu kufikiria kuanza new hobbiesHatari sana! But muda unavyozidi kwenda! Kuna siku mambo yatakua poa
Achana nae,mwambie umeshanipata Mimi,inatoshaana maushauri mabovu for future
Weeee thubutuuu nimenyooshwa balaaah mi napumzika we kama unataka kuingia sasa hivi hayajakunyoosha vizuri
naamini nikizoea itakua hvyoKuwa single Raha.
No stress
sasa mbona unataka kurudi bila kupumzikaWeeee thubutuuu nimenyooshwa balaa
Bwana we na kweli am 30, ndo mana nmesema natulia tu nifanye maisha kwanza. Ila nikfanya ibada nina iman mungu ataniongozaNi jambo zuri,but be sure unayeanza nae he is perfect, usije jutia tena maamuzi yako baadae! Kwa sasa kama uko na 30+ kupata mtu wakukuoa ni nadra sana,wengi ni waume za watu au wana watoto wametengana na wake zao huko! Au Mke yuko mbali,wewe unakua ka diversion kake!
mh maumivu yako makali zaidi, ndoa sio mchezo. mimi ndoa ilikua 9 january 2019. Usijute Mungu ana makusudi yake, Inuka pambanaKumbe wahanga tupo wengi....mimi nimeachana nae tarehe 4 january.2022.Sitaki tena kitu kinachoitwa ndoa.
Sawa sawa pamoja mkuuSawa! Kila kheri ndugu yangu! Mimi sasa hivi natuliza akili kwanza! Sina haraka sana! Wanasema life begging at forty,yaani four floor ndiyo nianze tena kuwaza mapenzi!
Sikua nimefunga nae ndoa ila nilishamlipia mahari .5yrs in relationship without a child and misunderstanding za kutosha ....nimeamua kunyosha mikono juu.Let me be free.mh maumivu yako makali zaidi, ndoa sio mchezo. mimi ndoa ilikua 9 january 2019. Usijute Mungu ana makusudi yake, Inuka pambana
pambana bestSikua nimefunga nae ndoa ila nilishamlipia mahari .5yrs in relationship without a child and misunderstanding za kutosha ....nimeamua kunyosha mikono juu.Let me be free.