Nimeanza ujenzi, kaa hapa tujenge pamoja

650 ila kuna eneo reserved kwa kazi maalumu
25*25 mbona eneo kubwa sana mkuu ukaliminya hivi, unasema kuna eneoe umelibakiza ni la nini? Umepabana sana mkuu ulikua una eneo zaidi
 
25*25 mbona eneo kubwa sana mkuu ukaliminya hivi, unasema kuna eneoe umelibakiza ni la nini? Umepabana sana mkuu ulikua una eneo zaidi
Kwa plan zangu hicho kinatosha kabisaaa eneo lingine lina kazi yake maalumu ya muda mrefu hapo kwa nilichitaji kinatosha kabisa mkuuu..... Tuombe MUNGU atupe uzima labda yajayo yatafurahisha zaidi
 
Kwa plan zangu hicho kinatosha kabisaaa eneo lingine lina kazi yake maalumu ya muda mrefu hapo kwa nilichitaji kinatosha kabisa mkuuu..... Tuombe MUNGU atupe uzima labda yajayo yatafurahisha zaidi
Okey mkuu
 
Kwa plan zangu hicho kinatosha kabisaaa eneo lingine lina kazi yake maalumu ya muda mrefu hapo kwa nilichitaji kinatosha kabisa mkuuu..... Tuombe MUNGU atupe uzima labda yajayo yatafurahisha zaidi
Kila kitu kinawezekana mkuu muombe Mungu akukamilishie ndoto zako kila la heri
 
Anytime ukitaka ushauri nicheki nitakushauri, mimi nilishamalazia 2019 na kuhamia kabisa vivyo hivyo kibishi
Ahsante boss ntakua mgeni wako.mara kwa mara nakuahidi hilo
 
hongera ni hatua..'
nimejengea tofali za kuchoma ni ngumu na nzuri na imara zina gharama kwenye finishing kuliko za cement sasa jitahidi kwa vyovyote usikutane na mvua za msimu hasa ikiwa umejengea udongo na hasa kama ujafunga lenta..pia kuongeza uimara kwenye angle usitumie udongo pia huko ujenzi rahisi mchanga 60000 huku ni 150000
 
Hii ni nyumba au choo?
Mawazo ya kimaskini na kishamba,huwa hamkosekani nyie yani kumiliki tecno na kuwa na access ya ku-comment JF unajikuta na wewe Star kuwavunja moyo wale wanaojaribu ku-face reality huku ukiwa juu ya mkeka kwenye chumba chako kimoja cha giza ulichopanga.

Hapo ulipo ukiulizwa bei ya mfuko mmoja wa cement hujui hata kama imepanda au imeshuka!hovyo kabisa.
 
Achana nae tufanye ye ashamaliza kiala kitu
 

Huyu fundi wako anapatikana mkoa gani boss?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…