Nimeanza ujenzi, kaa hapa tujenge pamoja

Nimeanza ujenzi, kaa hapa tujenge pamoja

Hongera sana mkuu umetupa mwanga na sisi ambao Bado tunajifikiria tutaanzaje
 
Tunauza mbao kwa bei ya jumla na rejareja :-
2*2 fut12=2500
2*3 fut 12=3500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=4500
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=14000
1*10fut 12 fisher board( treated)=15000
2*4 fut18(treated)=10000
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0654830416

vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu pia Tunafanya delivery kwa wakazi wa Dar es salaam
Ofisi zetu zipo Tegeta-Bagamoyo road
Nyie ndiyo wale ambao mbao zenu mnapaka dawa ya ukili badala za dawa ya mbao?
 
Treated ya aina ipi unatumia, ile ya kuchemsha moja kwa moja kwenye mbao (Kama wanavyofanya Saohill) au ile ya kupakwa kama juu ya mbao kama rangi ya kucha

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Wanatumia food color kama wanazotumia kwenye keki. Nàkushauri usinunue hizo wanazosema zina dawa. Ni utapeli mtupu
 
Natamani nione photo wadau naona kwangu hazifunguki nifanyeje
 
Back
Top Bottom