Hii niwap ,naomb no ya huyu fund aliekujengea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii niwap ,naomb no ya huyu fund aliekujengea
Mkuu ni wap hii?Mm nimefika hapaView attachment 2581464View attachment 2581465View attachment 2581467
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Nimekutumia inboxHii niwap ,naomb no ya huyu fund aliekujengea
Mkuu hii naomba maelezo kidogo hii, kuanzia msingi umepiga tofali au mawe tu hayaonekani?Kupitia Mwongozo wako albab nimefika hapa, tuletea mwendelezo bac tupate madini mapyaView attachment 2576376
Nyie ndiyo wale ambao mbao zenu mnapaka dawa ya ukili badala za dawa ya mbao?Tunauza mbao kwa bei ya jumla na rejareja :-
2*2 fut12=2500
2*3 fut 12=3500
2*2 fut12(treated) ya dawa=2800
2*2 fut18(treated) ya dawa=5000
2*4 fut12 treated(ya dawa)=5000
2*4 fut12 isiyo ya dawa=4500
1*6 fut12=4500
1*8 fut12=8500
1*8fut12 ya fisher board(treated)=9500
1*10 fut12=14000
1*10fut 12 fisher board( treated)=15000
2*4 fut18(treated)=10000
2*6 fut12=8000
1*4 fut12=2800
2*6 fut 18=19000
Tunapatikana muda wote kwa namba za simu zifuatazo:-
----0759630751
----0654830416
vile vile kuna huduma ya kuchana,kuranda na kusize mbao inapatikana ofisini kwetu pia Tunafanya delivery kwa wakazi wa Dar es salaam
Ofisi zetu zipo Tegeta-Bagamoyo road
Nimependa style ya paa lako, very simple, bila shaka hili halili sana batiNimefika hapoView attachment 2576570
Nimefika hapoView attachment 2576570
Unatamani kulijua lilipo hilo boma ili umjue.Mkuu ni wap hii?
Wanatumia food color kama wanazotumia kwenye keki. Nàkushauri usinunue hizo wanazosema zina dawa. Ni utapeli mtupuTreated ya aina ipi unatumia, ile ya kuchemsha moja kwa moja kwenye mbao (Kama wanavyofanya Saohill) au ile ya kupakwa kama juu ya mbao kama rangi ya kucha
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app