Nimeanza ujenzi, kaa hapa tujenge pamoja

Ujenzi kazi sana
 
Treated ya aina ipi unatumia, ile ya kuchemsha moja kwa moja kwenye mbao (Kama wanavyofanya Saohill) au ile ya kupakwa kama juu ya mbao kama rangi ya kucha

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Ushauri huo ni chanya maana akijenga kwa awamu kwa aina hiyo ya ujenzi nisawa na kazi bure maana atapata hasara
Ujenzi huo unatakiwa uwe vizuri kibajeti na ujenge msimu wa kiangazi
 
Mkuu hayo ni madirisha ama sehemu za kupigia chabo majirani?,anyway hongera kujenga sio lelemama
Kama siyo mtaalam huwezi kuelewa hapo nimeamua kuwa tofauti dirisha mlilozoea nimeligawa mara 2 nannimtindo wa kisasa kama utembei mtandaoni sana huwezi kuelewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…