Hiyo ni moja ya mipango yangu ndugu tuombe uzimatupe profile lako.hiyo ni huduma pia ni biashara so jifunze skills za kujitangaza na biashara yako huoni akina dkt ndod nk?toa somo bure hapa JF then tunajua kunamahita yale ya kitaalamu zaidi lazima mgonjwa uka naye na umuungalie tatizo personaly so watakuja wakuone
Dunia ndogo eeh!shwari mkuu karibu njombeHongera sana daktari naomba umjulishe vilevile mkurugenzi wako wa zamani ambaye yupo hapo njombe ili aweze kukutangazia biashaea yako kwa watumishi wa njombe, usisahau kuwaambia jamaa wa iringa vijijini ulikotoka ili waweze kujua ya kwamba kila kitu kinawezekana mkuu. once again bravo and god bless you usikate tamaa hata roma haikujengwa kwa siku moja na hata mbuyu ulianza kama mchicha
Tuwasiliane!Mkuu vifaa bado ni tatizo pia elimu ya afya kwa jamii inahitajika
Mkuu nashukuru kwa ushauri umefikatupe profile lako.hiyo ni huduma pia ni biashara so jifunze skills za kujitangaza na biashara yako huoni akina dkt ndod nk?toa somo bure hapa JF then tunajua kunamahita yale ya kitaalamu zaidi lazima mgonjwa uka naye na umuungalie tatizo personaly so watakuja wakuone
Karibuni kwa matibabu ya kinywa na meno na ushauri -nipo njombe mjini mtaa wa pamba nyepesi nyuma ya stendi kuu-kliniki inaitwa kiyoya dental clinic-karibuni