Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Yeye ndo kaniumba na hizi dhambi. Wa kulaumiwa ni yeye, otherwise aziondoe ndani mwangu.Anakuchoma moto sababu ya kuishi nje ya amri alizotoa kwenye neno lake/ Biblia..
Ni mwingi wa huruma ukimrudia.. ila ukikaza fuvu ndio moto huo 🏃♀️🏃♀️