Nimebaki na 1% ya kumuamini Mungu

Nimebaki na 1% ya kumuamini Mungu

Uwepo wa jinsia mbili wanawake na wanaume
Pia uwepo wa mboo na K.

Uwepo wa maji, Uwepo wa jua na uwepo wa lugha pia.

Kwa mbali ni kama kuna nguvu fulani iliyoweka hivo vitu, Ila kitu kinachonifanya nimpunguzie alama ni mambo yanayoendelea hapa duniani, E.g watu kufa kwa njaa, magonjwa ya ajabu kwa wasiokuwa na hatia, majanga ya asili kama tetemeko na tsunami.etc
This logical fallacy is called non sequitur.
 
The fact that an almighty God and all powerful God needs humans to speak for him and defend him, It's a prove that he doesn't exist.

Huyo Mungu kama yupo ajitokeze hadharani mwenyewe ajidhihirishe, ajitetee, na kujiongelea mwenyewe kama ana huo uwezo.
Unaposema ajitokeze hadharani unazungumzia kwa akili ya kibinadam...hata bakteria pengine haamini kama binadamu yupo....Mungu aliyeumba vyote vilivyopo kwa ukubwa wake huwezi kumuona.
 
Ngoja asimamishe moyo wako ndio utajua ukubwa na thamani yake...........
 
Habari za jumapili members wa jamiiforums.

Asilimia ya kumwamini Mungu imebaki moja tu.
Usikufuru Mungu unaweza kuona unapitia magumu ila kuna wengine wanapitia magumu zaid yako ila bado wanamuamini Mungu.. Ht hivo Mungu anabaki kuwa yule yule ht watu wote wasipomuamini
 
Unaposema ajitokeze hadharani unazungumzia kwa akili ya kibinadam...hata bakteria pengine haamini kama binadamu yupo....Mungu aliyeumba vyote vilivyopo kwa ukubwa wake huwezi kumuona.
Bacteria wapo na wanathibitishika wapo.

Mungu hayupo na wala huwezi kuthibitisha yupo.
 
Yeye ndo kaniumba na hizi dhambi
Hajakuumba na dhambi, amekuumba msafi ukiwa huna mawaa
Wa kulaumiwa ni yeye
Somehow this is true, na ndio maana akajivika ubinadamu na kuja kuchukua dhambi yako na yangu ili wewe usiangamie kweny huo moto alio uandaa kwa ajili ya lucifer na sio wewe, hakuandaa huo moto kwa ajili yako.
otherwise aziondoe ndani mwangu.
Yes Demi he did that, msalabani Yesu alichukua dhambi zetu, you just have to pray for forgivness and leave accordingly, unataka nn tena kutoka kwake??

Listen, Mimi sio mhubiri na wala sina hiko kipaji but claims zako za ajabu na zinaonesha hujui theology vizur, wewe ni mkatoliki bila shaka, ndo maana unaongea vitu ambavyo vinaeleweka vizur sana kama ni msomaji mzuri wa biblia.
 
Mimi simuamini ila nakiri kumuamini kuna faida zake(ukimuamini kwa namna fulani)

Sema kupanga ni kuchagua
Nimeenda church leo ila sielewi kabisa kinachoongelewa, nyie wajinga mnaniharibu na mitizamo yenu 😹😹😹

Halafu natamani kusimulia kilichonifanya nikaenda na maneno yaliyosemwa aiseee..!! 🤣
Nilijiona kweli kishetani mvuruga amani..!
 
Bacteria wapo na wanathibitishika wapo.

Mungu hayupo na wala huwezi kuthibitisha yupo.
Mkuu naona umenielewa tofauti,,,bacteria kwa udogo wake ni ngumu kwake kudhibitisha uwepo wa binadamu,,,yeye anaweza kudhibitisha uwepo wa cells,virus labda na organ ambayo yeye inampatia mahitaji yake.

Mungu ni mkubwa kuliko solar system,,ni ngumu sana wewe kumuona na kumtambua kwa macho yako ya kibinadamu.

Ila sehemu ninayoweza kukubaliana na wewe ni hizi dini,,Nina mashaka kama haya maandiko yote ya dini ameyasema Mungu,,,,hizi habari za kumuomba na kumshukuru,,kuwepo na pepo na moto,,Nina mashaka juu ya haya,japo nami ni mfuasi wa dini.

Ila kuwepo kwake sina mashaka na hilo.
 
Mkuu naona umenielewa tofauti,,,bacteria kwa udogo wake ni ngumu kwake kudhibitisha uwepo wa binadamu,,,yeye anaweza kudhibitisha uwepo wa cells,virus labda na organ ambayo yeye inampatia mahitaji yake.

Mungu ni mkubwa kuliko solar system,,ni ngumu sana wewe kumuona na kumtambua kwa macho yako ya kibinadamu.

Ila sehemu ninayoweza kukubaliana na wewe ni hizi dini,,Nina mashaka kama haya maandiko yote ya dini ameyasema Mungu,,,,hizi habari za kumuomba na kumshukuru,,kuwepo na pepo na moto,,Nina mashaka juu ya haya,japo nami ni mfuasi wa dini.

Ila kuwepo kwake sina mashaka na hilo.
Huyo Mungu ni wewe tu unahangaika kumsifia na kumwelezea hapa.

Huyo Mungu kama yupo aje yeye mwenyewe kujidhihirisha, kujitetea na kujiongelea mwenyewe kama ana huo uwezo.

The fact that an almighty God and all powerful God needs humans to speak for him and defend him, It's a prove that he doesn't exist.

God is Man -made.

Human beings created God through assumptions based on things beyond their imaginations.
 
This logical fallacy is called non sequitur.
Kwa asilimia fulani huenda kuna nguvu zilizounda ulimwengu. Na pia hizo Nguvu zinahitaji formula fulani ili kuzifikia. Na hizo Formula huenda ni ngumu sana..

Enewei bado namuamini Mungu 1%
 
Back
Top Bottom