Nimebaki njia panda, sijui huyu mchepuko ana plan gani!

😂😂😂😂😂😂
Samahani kukuambia hili Old Guard ila wewe pamoja na 'xaf', 'haikuux', wako wote mna pigo tu za ajabu.!

Kitendo cha kumsaliti mkeo ni uwaki namba moja, kitendo cha kuweka namba za binti wa watu public hivi pia ni u-phaller,

Kubwa zaidi uzinzi mfanye wenyewe kisha yakiwakuta makubwa msalaba tubebe wote, hapana, 'you gonna reap what you sow walaqhi'..!
 
Wanawake wako hivyo, old strategy in history of human
 
Tatizo lako unamihemko halafu hujaelewa kitu hiyo mimba utalea mpaka azae kwa sababu ya ujinga wako .

Hiyo mimba sio yako ni ya huyo boy(hana maisha) wake ila anataka ulee wewe !? huwa mnatapeliwa hivi hivi mnakua na kazi zenu na maisha yenu halafu mapenzi mmeanzia ukubwani cjui kwa kuamini pesa ni kila kitu.

Na huto amini maneno yangu zaidi utachanganyikiwa kwa sababu kama mlikuwa wawili halafu huelewi kinachoendelea unatuuliza sisi tulio burundi ndo tulia sasa nikuhakikishie.

100% hio mimba sio yako utalea na mtoto akizaliwa utajua ukweli umenasa, kibaya zaidi huwezi kukataa kwa sababu umeshikwa penyewe wanaume wachache wenye maamuzi sahihi kwenye hilo suala na njia sahihi sikuambii.

Lakini ningekua mimi ningemfata alipo ningejishusha ningembeleza nitampeleka akale chakula na kumnunulia zawadi ambayo itamgusa nitapeleka lodge nitakula mzigo mwishoni nitambembeleza kwa kumpa umuhimu wa kutozaa kwa sasa atakula vidonge tu, halafu nikuulize ? hazijapita siku 3 p2 zetu zicje kushindwa kufanya kazi ?.


halafu ucwe na tabia ya kukubali mwanamke akuelkeze cha kufanya mahali au jambo amblo hutkiwi kumwachia aamue hatima yako "amua cha kufanya "mwambie tulia hio kazi utashugulikia wewe sio yeye katoto kana 20 kanakuambia tulia na ndevu zako unatulia hlf usubiri mmbo yawe unavyotaka unakosea atakupelkesha ukiendelea hvyo.
 
 
Uzembe wako ..matokeo yako
 
Wewe ni mwanaume wa ajabu unaye enda peku-peku kwa mchepuko. Bora iwe mimba kuliko kupeleka HIV kwa mkeo!!

Sent from my MRD-LX1F using JamiiForums mobile app
 

Kuhusu hiyo screenshot nmekosea tu sio dhumun kueka public hizo numb na ndio maan nmefuta japo kuna wapuuz wamempigia cm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…