Nimebaki njia panda, sijui huyu mchepuko ana plan gani!

Nimebaki njia panda, sijui huyu mchepuko ana plan gani!

Wasalaam!

Niende moja kwa moja kwenye point,mm nmeoa mwaka jana mwez wa pili na mke niliyempata Alhamdulillah ni bint mzur alielelewa katika maadilu mazur na bahat nzur nilimkuta akiwa bikra kwahyo nikalipa mahar nusu tukala mpunga ikaisha na saiv tumebahatika mtoto wetu mzur wa kiume(Alhamdulillah)

Sas kimbembe kimeanza nilipata kamchepuko hata mwez hatuna kana age km 20,mara ya kwanza kusex nae aseh nilienjoy sana toto na styl zake za doggy styl na plan yangu mm nipite na sio kueka makaz nikajikuta nmenogewa na mapenz tu na sio kueka makazi

Majuz tumekutana nikatoka kazin nikampigia cm wife nimepata dharura ya kikaz kwahy tunachomoka nje ya daslam kidg huku pemben mchepuko nmempanga tumeet leo tunalala kabisa kwel tulikutana nikachukua chumba maeneo flan hv tukalala usiku kucha namgeuza km kambale sas baada ya kupiga bao la kwanza akaniambia “leo yupo siku za kunasa mimba” sas nikaona nishamwaga ndan acha niendele tu

Bhas ikafika asbh nikamuachia hela ya kununua p2 na nyingine ya kumsaidia mm nikaoga nienda kazin nikamuacha amelala,badae ananiambia kapoteza pesa zote nikataka kumtumia tena akakataa nisitume ikabid nimuulize “kwahy hiyo mimba ikiingia itakuaje” akanijib”atampa boy wake”

Sas nmebaki njia panda sijui nifanyaje na mm kiukwel binti sijavutiwa nae bali nilihitaj tu kampan ya kupoozana hii kitu hapo mwanzo nilimchana na jana kaniambia hii mimba hainihusu tena anampa boy wake

Na mm upande wangu nahofia ndoa yangu isije ikaingia mikwaruzano na nmeishi na mke wangu kwa aman sana

Hapo sielewe nichukue uamuz gn kuhusu hilo
Huyo mchepuko tayari una mimba ya huyo boy wake we jiandae kumsaidia matunzo utakapoambiwa ni mimba yako hapo badae
 
Mkeo alikua bikra daah! Ko ana kitu bado mnato kabisa ila ms3nge wewe bado ukaona uchepuke? Si heri usingelioa tu sasa..
 
Mkeo alikua bikra daah! Ko ana kitu bado mnato kabisa ila ms3nge wewe bado ukaona uchepuke? Si heri usingelioa tu sasa..
Mkuu kwa uzoef wangu madem bikra weng hawanaga utundu xx ukitoka tu nje na kukutana na wakuifinyia kwa ndani ndoa unaisahau
 
Mkuu kwa uzoef wangu madem bikra weng hawanaga utundu xx ukitoka tu nje na kukutana na wakuifinyia kwa ndani ndoa unaisahau
Na hapo ndo kosa linapoanzia ,mke ni mke na mchepuko ni mchepuko .Sasa hii kuchepuka alaf unahamishia akili na moyo kwa mchepuko ,soon tunaletewa mirejesho ya "mke wangu anachepuka mbele yangu" hapo familia imevunjika tayari
 
Kwa hiyo ulipiga mbichi yani[emoji23][emoji23][emoji23]
 
'Tunataka katiba mpya maana anaweza tokea makamu wa Rais mchwai akamroga Rais ili yeye awe Rais' Ndugu Chalamila
 
Wasalaam!

Niende moja kwa moja kwenye point,mm nmeoa mwaka jana mwez wa pili na mke niliyempata Alhamdulillah ni bint mzur alielelewa katika maadilu mazur na bahat nzur nilimkuta akiwa bikra kwahyo nikalipa mahar nusu tukala mpunga ikaisha na saiv tumebahatika mtoto wetu mzur wa kiume(Alhamdulillah)

Sas kimbembe kimeanza nilipata kamchepuko hata mwez hatuna kana age km 20,mara ya kwanza kusex nae aseh nilienjoy sana toto na styl zake za doggy styl na plan yangu mm nipite na sio kueka makaz nikajikuta nmenogewa na mapenz tu na sio kueka makazi

Majuz tumekutana nikatoka kazin nikampigia cm wife nimepata dharura ya kikaz kwahy tunachomoka nje ya daslam kidg huku pemben mchepuko nmempanga tumeet leo tunalala kabisa kwel tulikutana nikachukua chumba maeneo flan hv tukalala usiku kucha namgeuza km kambale sas baada ya kupiga bao la kwanza akaniambia “leo yupo siku za kunasa mimba” sas nikaona nishamwaga ndan acha niendele tu

Bhas ikafika asbh nikamuachia hela ya kununua p2 na nyingine ya kumsaidia mm nikaoga nienda kazin nikamuacha amelala,badae ananiambia kapoteza pesa zote nikataka kumtumia tena akakataa nisitume ikabid nimuulize “kwahy hiyo mimba ikiingia itakuaje” akanijib”atampa boy wake”

Sas nmebaki njia panda sijui nifanyaje na mm kiukwel binti sijavutiwa nae bali nilihitaj tu kampan ya kupoozana hii kitu hapo mwanzo nilimchana na jana kaniambia hii mimba hainihusu tena anampa boy wake

Na mm upande wangu nahofia ndoa yangu isije ikaingia mikwaruzano na nmeishi na mke wangu kwa aman sana

Hapo sielewe nichukue uamuz gn kuhusu hilo
Naona alhamdulilah nyingi, oa mke wa pili, hata Mwaka hamna na mkeo, una mwezi tu, umeshamtafutia msaidizi! Ndoa nayo kuna wakati inaonekana kama ujinga fulani hivi ambao unaweza kukuua Kwa kumuamini mtu asiyejitambua.
 
Ndo uzuri wa mwovu,,kwenye majuto anaweka kende mbali sana zisijekupasuliwa unavyohanyahanya
 
Wasalaam!

Niende moja kwa moja kwenye point,mm nmeoa mwaka jana mwez wa pili na mke niliyempata Alhamdulillah ni bint mzur alielelewa katika maadilu mazur na bahat nzur nilimkuta akiwa bikra kwahyo nikalipa mahar nusu tukala mpunga ikaisha na saiv tumebahatika mtoto wetu mzur wa kiume(Alhamdulillah)

Sas kimbembe kimeanza nilipata kamchepuko hata mwez hatuna kana age km 20,mara ya kwanza kusex nae aseh nilienjoy sana toto na styl zake za doggy styl na plan yangu mm nipite na sio kueka makaz nikajikuta nmenogewa na mapenz tu na sio kueka makazi

Majuz tumekutana nikatoka kazin nikampigia cm wife nimepata dharura ya kikaz kwahy tunachomoka nje ya daslam kidg huku pemben mchepuko nmempanga tumeet leo tunalala kabisa kwel tulikutana nikachukua chumba maeneo flan hv tukalala usiku kucha namgeuza km kambale sas baada ya kupiga bao la kwanza akaniambia “leo yupo siku za kunasa mimba” sas nikaona nishamwaga ndan acha niendele tu

Bhas ikafika asbh nikamuachia hela ya kununua p2 na nyingine ya kumsaidia mm nikaoga nienda kazin nikamuacha amelala,badae ananiambia kapoteza pesa zote nikataka kumtumia tena akakataa nisitume ikabid nimuulize “kwahy hiyo mimba ikiingia itakuaje” akanijib”atampa boy wake”

Sas nmebaki njia panda sijui nifanyaje na mm kiukwel binti sijavutiwa nae bali nilihitaj tu kampan ya kupoozana hii kitu hapo mwanzo nilimchana na jana kaniambia hii mimba hainihusu tena anampa boy wake

Na mm upande wangu nahofia ndoa yangu isije ikaingia mikwaruzano na nmeishi na mke wangu kwa aman sana

Hapo sielewe nichukue uamuz gn kuhusu hilo
Allah Akbar
Unajisifia na zinaa ..... Muogope Allah

Mpende mkeo muishi kwa furaha hakika utajuta baadaye usipoacha hiyo tabia
 
😂😂😂😂 mkuu ushapigwa na kitu kizito.

Hapo tegemea kulea hiyo mimba mpaka ajifungue, utalea huyo mtoto hiyo ni utake ama usitake.

Na cha ajabu zaidi ni kua huenda hiyo ni mimba ya boy wake na wewe unapakaziwa coz huwezi jua mimba ni ya nani, siri hiyo anayo uyo binti wa miaka 20 anaekuchanganya namna hiyo.
 
Back
Top Bottom