Nimebaki njia panda, sijui huyu mchepuko ana plan gani!

Asante mkuu kwa namba ya simu.
Nitaleta marejesho kama kweli anaziwezea hizo styles vizuri.
Namba I wapi???


Kuna mmoja humu aliwaiga kuleta MALALAMIKO ya Demu wake yupo hapo....


Akaweka Shots, Bahati mbaya namba ikawa inasomeka.


Daahh Demu ananipenda mpaka Leo, Huwa najipigia kila nipatapo nafasi ya kukutana nae.
 
Acha umalaya mwambie na mkeo akatafute mchepuko
 
Naona wadada wanakupanga

USIMPE HATA MIA ndani ya miezi4 ujue ana mimba au anazingua
 
Oya mkuu hii kitu inaleta mantiki aiseeeh

Huyu katapeliwa mimba
 
Bro unachokitafuta utakipata huyo atakuharibia ndoa soon tu ngoja ajifungue ndo utayaona vizuri.. Fanya juu chini ameze p2
 
Aisee huu hupuuzi huwa wanaufanya watu wengi walio kwenye ndoa na sijui kwa nini, nabaki najiuliza hivi na mimi siku nikioa nitafanya huu upuuzi au nitabaki kwenye msimamo wangu wa kuwa mwaminifu kwenye ndoa, Namuomba Mungu anipatie msichana bikra tu au hata kama sio bikra ila akijistahi tu aisee hatokuja kujudia upendo wangu,
𝐈𝐥𝐚 𝐤𝐰𝐚 𝐰𝐞𝐰𝐞 𝐮𝐦𝐞𝐳𝐢𝐧𝐠𝐮𝐚 𝐩𝐚𝐤𝐮𝐛𝐰𝐚
 
Jamani kha yaani mmeshaniona mie zoa zoa kwamba chochote kile chenye miguu miwili na mbususu na namba ya simu mie nageggeda tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Nunua p2 mpelekee akzimeze akiwa chini ya ulinzi wa panga.. usi entertain ujing kama huo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Amekosa yeye amekosa Sana[emoji2]Extrovert
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…