Nimebaki njia panda, sijui huyu mchepuko ana plan gani!

Huyo mchepuko tayari una mimba ya huyo boy wake we jiandae kumsaidia matunzo utakapoambiwa ni mimba yako hapo badae
 
Mkeo alikua bikra daah! Ko ana kitu bado mnato kabisa ila ms3nge wewe bado ukaona uchepuke? Si heri usingelioa tu sasa..
 
Mkeo alikua bikra daah! Ko ana kitu bado mnato kabisa ila ms3nge wewe bado ukaona uchepuke? Si heri usingelioa tu sasa..
Mkuu kwa uzoef wangu madem bikra weng hawanaga utundu xx ukitoka tu nje na kukutana na wakuifinyia kwa ndani ndoa unaisahau
 
Sikuiona ile namba ya simu, naomba aliyonayo anirushie ninataka kumshauri huyo binti
Asante mkuu kwa namba ya simu.
Nitaleta marejesho kama kweli anaziwezea hizo styles vizur
 
Mkuu kwa uzoef wangu madem bikra weng hawanaga utundu xx ukitoka tu nje na kukutana na wakuifinyia kwa ndani ndoa unaisahau
Na hapo ndo kosa linapoanzia ,mke ni mke na mchepuko ni mchepuko .Sasa hii kuchepuka alaf unahamishia akili na moyo kwa mchepuko ,soon tunaletewa mirejesho ya "mke wangu anachepuka mbele yangu" hapo familia imevunjika tayari
 
Aisee subiri kitu kizito kikudondokee ndiiii!
 
Kwa hiyo ulipiga mbichi yani[emoji23][emoji23][emoji23]
 
'Tunataka katiba mpya maana anaweza tokea makamu wa Rais mchwai akamroga Rais ili yeye awe Rais' Ndugu Chalamila
 
Naona alhamdulilah nyingi, oa mke wa pili, hata Mwaka hamna na mkeo, una mwezi tu, umeshamtafutia msaidizi! Ndoa nayo kuna wakati inaonekana kama ujinga fulani hivi ambao unaweza kukuua Kwa kumuamini mtu asiyejitambua.
 
Ndo uzuri wa mwovu,,kwenye majuto anaweka kende mbali sana zisijekupasuliwa unavyohanyahanya
 
Allah Akbar
Unajisifia na zinaa ..... Muogope Allah

Mpende mkeo muishi kwa furaha hakika utajuta baadaye usipoacha hiyo tabia
 
😂😂😂😂 mkuu ushapigwa na kitu kizito.

Hapo tegemea kulea hiyo mimba mpaka ajifungue, utalea huyo mtoto hiyo ni utake ama usitake.

Na cha ajabu zaidi ni kua huenda hiyo ni mimba ya boy wake na wewe unapakaziwa coz huwezi jua mimba ni ya nani, siri hiyo anayo uyo binti wa miaka 20 anaekuchanganya namna hiyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…