Nimebubujikwa na machozi ya Furaha baada ya kumuona Rais Samia kwa Macho Yangu

Haya machozi ungewalilia ndugu zako waliokufa kwa umaskini wewe!
Fanya kazi za kipato chako lucas ulishe wanao vyema usiendekeze "ukunguni" kwa kiasi hicho!
 
Halafu huwa tunafikiri wewe ni "Me" kumbe ni "Ke"
 
CCMmna furaha sana watu wanvyoekwa
 
CCM ndiyo inapenda akili kama hizi,huku wao na familia zao wakipiga madili makubwa,halafu wewe huko uliko na ndugu zako sijui hata kama mmeajiliwa au kuwezeshwa kuajiliwa zaidi ya kujitoa ufahamu na kusifiasifia tu
Si kweli, CCM wapo watu wenye hofu ya Mungu ila inafanyika jitihada wasionekana. Hao MACHAWA ni kwa ajili ya hao mafisadi wachache ndani ya CCM
 
Sijasoma uzi ila nacoment ni lini utaacha ushambwa wee mshambwa??
 
Wakuu mnaongea na mtu hata mafinga hapajui vizuri,yaani safari yake ndefu ilikua toka vwawa mpk makambako.
So msameheni tu aendelelee kulia.
Ungejua mimi hapo dar ni kama sebuleni usingetoa maneno yako ya kejeli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…