Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
🤔🤔Lkn mkuu oppoturnity never comes twice.hii ndio bahat8 ya mtede p
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤔🤔Lkn mkuu oppoturnity never comes twice.hii ndio bahat8 ya mtede p
Kuna watu wana aura mbaya lkn wana ushauri mzuri snaa .asante mkuuWasiliana na FaizaFoxy maana yupo canada ili amfanyie vetting huyo Bi mdashi mzungu.
Na hii ndo habaree ya mjiniMkuu umepatikana!.
Kuwa makini sana na matapeli wa West Africa haswa Nigeria na Senegal.
Mhn mitusi tena shekheee.lkn poa poa tu mtaalamu hakuta tabu .asnate kwa hiloMatapeli hao, punguani wewe....bila chaka ni Facebook, wengi wao ni wanaigeria...muda wowote wataanza kukutengenezea mazingira ya kukupiga hela[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
He bora yeeesheeeeee?au watu wananionea gere?Figo = $126, 000
Ini = $320,000
Moyo = $380, 000
Pancreas = $98,000
Cornea = $26,000
Ndo utajua hujui!
Kweli sema nini mkuu .nitaongea naye aje yeye kwanza then tuondoke wote au vepe?Mwambie aje kwanza yeye si Matajiri wana hela bana
PointMwambie aje kwanza yeye si Matajiri wana hela bana
Umeniwahi mkuu,Mkuu umepatikana!.
Kuwa makini sana na matapeli wa West Africa haswa Nigeria na Senegal.
Muhimu sana hii, watu wanauawa kwa maamuzi mepesi ya offers.Angalizo tu, angalia usije kwenda ukatolewa vital organs mfano figo etc
Katika pita pita zangu katika mitandao mbali mbali ya duniani km vile tagged.tinder. badoo hatimae leo nimepata demu mzungu ambaye kwao ni CANADA.
Alianza yeye kuchati na mm baada tu ya kumjibu ndio nikaanza kupokea mualiko kwamba eti huyu demu anataka mm niende kwao nikaishi nayeye je hili ni zari la mentali au ndio wazingiaji tu mitandaoni?
Mtoo anasema kwao ni matajiri wao wanamiiliki factory hivyo niende nitakuwa nafanya kazi huko kwenye factory yao.
Alivyoniahidi eti anasema atanilipia na kunisaidia kupata viza na kunitumia tiketi ya ndege ya kwenda CANADA mm nitafute passport tu.
Ndio nikaona nije kwenu wataalamu na wajuvi katika kijiwe chetu hiki cha jamii forum.je nianze mchakato wa kutafuta passport au ndio naenda kutolewa maini na viungo vya ndani kuliwa nyama?
Karibuni kwa maoni naruhusu pia ukiwa na ushauri ambao ni confidential nitumie inbobo.
Asanteni sana michango na maoni yenu