Nimechaguliwa kujiunga na AZANIA SECONDARY SCHOOL A-LEVEL 2023 wanaoijua mnisaidie hapa

Wewe ni me au ke na kama me hiyo boe maana yake nini au ndo manula kaenda kushambulia
 
Jamii Forums "tunaoga" pamoja na vijukuu!
Nimeogopa sana
 
4 Azania? Mbona tano wanaenda special school kabisa Ilboru, kibaha, mzumbe plus tabora boys.
ndio, ila kama umezitaka. Azania Niliichagua mwenyewe though it was accidentally
 
mmmh! Sa mbona sikupelekwa? Nina 1.7 na points 4 kwenye comb
Kuwa mkweli bhana, 1.7 afu grade comb n 4, lazima uende special school, mwanzoni sikuelewa nlijua una 1 ya 17.

Wee acha kutupiga kamba hapaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuwa mkweli bhana, 1.7 afu grade comb n 4, lazima uende special school, mwanzoni sikuelewa nlijua una 1 ya 17.

Wee acha kutupiga kamba hapaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sioni haja ya kusema uongo wala sipati faida yoyote. Maybe unataka evidence gani ili uamini nisemacho?
 
Hakuna mwanafunzi hapa ni jamaa flani hivi linatengeneza sinema jf.
Kuna baadhi ya mambo ukijaribu kuyatengenezea uongo ni kama yanakukataa flani hivi
 
Hakuna mwanafunzi hapa ni jamaa flani hivi linatengeneza sinema jf.
Kuna baadhi ya mambo ukijaribu kuyatengenezea uongo ni kama yanakukataa flani hivi
Sawa.
 
Kumbe dar kuna shule za boarding government
 
Sipo kubishana najua nachokiongea , nimesoma moja ya shule tajwa hapo hivyo kama kanielewa atayafanyia kazi ila kama atakuwa mbishi ataenda atajiona na atakuja kukiri siku moja kwa kupitia huu huu uzi
Asante .
Azania hostel zipo....na wamejenga zingne mpya nying
 
Nimereport hapo shule takribani 3 weeks ago, mliyoyasema nimeyakuta na mengine sijayakuta

Kuhusu hostels zipo za kutosha tu kwa anayetaka kuishi shule Tena bure kabisa kikubwa uwe na mahitaji yako binafsi.
Uhuru bado upo na ni mkubwa sana na walimu wanafundisha kwa kiasi chake tu ila Hali sio mbaya tunapamana.

Ahsanteni.
 
Dar, Mungu akusaidie. hivi jf kumbe kuna watoto wadogo kiasi hiki. piga shule dogo.
 
Dar, Mungu akusaidie. hivi jf kumbe kuna watoto wadogo kiasi hiki. piga shule dogo.
Barikiwa pia, wapo watoto wadogo pia nahisi zaidi yangu pia cause it's a free platform so usishangae sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…