Nimechaguliwa kujiunga na chuo kozi ya bachelor degree in digital content and broadcasting engineering ila siielewi

Nimechaguliwa kujiunga na chuo kozi ya bachelor degree in digital content and broadcasting engineering ila siielewi

Wakubwa naomba msaada juu ya ii kozi nimesha confirm...but kama Kuna uwezekano wa kufanya transfer naomba mnisaidie kujua cost za kuf Anya transfer ya koz niende computer engineering..,.matokeo na division one point 8
Hiyo Kozi ni nzuri kwa namna ya soko lilivyo sasa mkuu.
Ajira azitabiriki hivyo haitokupa njaaa.

Pili mabenki wanatafuta watu kama hiyo course ilivyo.
 
Kasome mbona hiyo kozi ni nzuri... Baadae ndo unakuwa sound engineer,visual,graphics na maswala mbalimbali ya media... Azam TV tunaye mganda anakula 13million per month ... Hiyo computer engineering unayotaka haina tofauti na IT au Computer science.... Wote mnaomba KAZI moja
Ni kwel
 
Aiseeh mbona hiyo kozi ni bonge la kozi sana hasa kipindi hiki ambacho makampuni mengi yanahitaji watu wa kwenye ishu za digital marketing,graphics, e.t.c na pia unaweza kufanya kazi za Consultancy.
Usiache hiyo kozi.. Unataka uende ukasomee computer sc au enginerring ili Iweje? Je unataka ufungue ofisi ya kuchoma CD.
NB; usiache hiyo kozi kasome
 
Wakubwa naomba msaada juu ya ii kozi nimesha confirm...but kama Kuna uwezekano wa kufanya transfer naomba mnisaidie kujua cost za kuf Anya transfer ya koz niende computer engineering..,.matokeo na division one point 8
Achana na bachelor chagua ndoa
 
Iyoo ulikuwa nimeongezea ili nikamilishe koz Tano. Ko ulikuwa ni ya mwisho
Hiyo ndio inakwenda kukupa shavu ukimaliza degree yako!
Bonge la kozi hiyo. Sometime vile ambavyo unaona huvipendi au huvielewi ndio vinaenda kukupa shavu la kimaisha.
Dunia ya sasa hivi inahitaji watu kama nyie.
 
Hiyo ndio inakwenda kukupa shavu ukimaliza degree yako!
Bonge la kozi hiyo. Sometime vile ambavyo unaona huvipendi au huvielewi ndio vinaenda kukupa shavu la kimaisha.
Dunia ya sasa hivi inahitaji watu kama nyie.
Ni kwel mkuu
 
Wakubwa naomba msaada juu ya ii kozi nimesha confirm...but kama Kuna uwezekano wa kufanya transfer naomba mnisaidie kujua cost za kuf Anya transfer ya koz niende computer engineering..,.matokeo na division one point 8
Unaenda kuwa mhandisi wa mitambo ya vyombo vya utangazaji kama redio, television, n.k. Pia utakuwa msimamizi wa kuhariri maudhui ya mtandaoni au kidigitali. Hivyo wewe utatumika na vyombo vya habari vya redio na television, Mamlaka ya mawasiliano Tanzania, na makampuni ya simu.
 
Usikariri maisha unajua hiyo kozi ni bonge la kozi alafu watalaam wake ni wachache sokoni! Dunia ya sasa inawahitaji hawa watu! Msipende kukimbilia hizi popular kozi ambazo usaili wa mtu 1 wanaitwa 1000/= tafuta kozi ambayo usaili wa mtu 1 wanaitwa 4
sio kwa tanzania hii. nilisoma kozi moja nikiwa ndo intake ya kwanza. tulikuwa watu 34, mwaka wa kwanza wakadisco 5 wengine wakaacha tukabaki kama 26 hivi.
tulikuwa tunaambiwa hii course ni hot sana. yani demand yake ni kubwa sana. kumbe ni hot huko nchi za scandinavia sio bongo hii.
kilichotukuta sasa....
Ila ni kweli hizi course za content ni deal sana. Wiki mbili zilizopita nimepiga chini kwenda kuwa swahili content moderator huko nje kitu ambacho nilikifanya kwa Tweeter kipindi cha uchaguzi wa Kenya. Nilikuwa napitia video posts, comments ambazo hazifai wanaziondoa.
 
Pia
Unaenda kuwa mhandisi wa mitambo ya vyombo vya utangazaji kama redio, television, n.k. Pia utakuwa msimamizi wa kuhariri maudhui ya mtandaoni au kidigitali. Hivyo wewe utatumika na vyombo vya habari vya redio na television, Mamlaka ya mawasiliano Tanzania, na makampuni ya simu.
Pia naamini hata Jamii Forums wanatoa ajira za watu wa kozi hiyo. Soma hiyo dogo itakutoa kwa haraka kuliko hata computer engineering ambayo kozi zake wapo wengi sana na baadhi kozi zake zinapatikana pia kwenye programmes zingine kama computer science, cyber security, electrical and electronics engineering, n.k
 
Dogo soma hiyo kozi, computer engineering kwa sasa sio hot. Kikubwa ukiingia kusoma jiongeze uwe expert zaidi, usikalili notice
 
Back
Top Bottom