BB_DANGOTE
Senior Member
- Sep 25, 2023
- 167
- 148
- Thread starter
- #41
Sahihi
Pia
Pia naamini hata Jamii Forums wanatoa ajira za watu wa kozi hiyo. Soma hiyo dogo itakutoa kwa haraka kuliko hata computer engineering ambayo kozi zake wapo wengi sana na baadhi kozi zake zinapatikana pia kwenye programmes zingine kama computer science, cyber security, electrical and electronics engineering,sahih